TANZIA Padri Bonaventuta Kisamaka afariki dunia

Torch

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
1,200
Reaction score
1,121


Mhashamu Baba Askofu Ludovick Joseph Minde wa Jimbo Katoliki La Moshi anatangaza kifo cha Mh. Padre Bonaventura Kisamaka kilichotokea Leo Jumatano 03/03/2021 katika hospitali ya Mt. Joseph Soweto Moshi.

Mipango ya mazishi inaendelea na taarifa zaidi tutaendelea kukujulisha

Raha ya milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina. [emoji120][emoji174]

Source: Radio Maria
 
Hivi mbona mapadri na ma prfs ndio wanakufa ??huenda kuna siri kweli kwenye unawaji maana wenzetu wa upande wa pili kule wao kabla hawajaingia ibada lazma unawe ndio maana wao hatusikii kabisa.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Apate pumziko la milele.....amina.

Inabidi hawa jamaa waje na mbinu mbadala za kuendesha ibada zao, kukutana na watu wengi kunawafanya kujiexpose zaidi na hii changamoto ya upumuaji.
 
Alikuwa ni padri mmoja noma sana!Kila siku misa ya asubuhi ni saa tisa kamili usiku,ukichelewa hata dakika moja anakufungia nje halafu adhabu yake unapaswa ukachote mchanga wa ujenzi mtoni debe mia!
Hahahaaah duh huyo zaidi ya wale walimu wakorofi.
 
Mungu ampe pimziko la milele Amina.
 
Hivi mbona mapadri na ma prfs ndio wanakufa ??huenda kuna siri kweli kwenye unawaji maana wenzetu wa upande wa pili kule wao kabla hawajaingia ibada lazma unawe ndio maana wao hatusikii kabisa.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Labda ni kwa sababu ya exposure ya utumishi wao nje ya mipaka ya nchi?
 
Hahahaaah duh huyo zaidi ya wale walimu wakorofi.
Halafu ni kama alikuwa na kipaji fulani hivi kwenye hayo mambo ya dini. Kanisa lake lina waumini wengi sana(mamia ya watu) ila siku ukikosa kanisani halafu ukaja jumapili inayofuata anagundua,ni anatoka kule mbele anakufuata halafu anakupiga makofi mengi sana kwa kutumia biblia halafu anakupa adhabu ya kwenda kuchota mchanga mtoni debe mia ambako ni mbali sana na pana milima mingi!
 
Alikuwa ni padri mmoja noma sana!Kila siku misa ya asubuhi ni saa tisa kamili usiku,ukichelewa hata dakika moja anakufungia nje halafu adhabu yake unapaswa ukachote mchanga wa ujenzi mtoni debe mia!

Saa tisa usiku mkuu,fafanua please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…