Padri mcharo ananimaliza

Padri mcharo ananimaliza

Sabinaa

Member
Joined
Jul 17, 2017
Posts
72
Reaction score
155
Natamani kuwa na huyu mwanaume kwenye siku ya valentine day,aniambie popote alipo ntamfata kwa gharama zangu,ananikosha sana nyonga zangu,simmalizi nikimfikiria, niitieni anitoe hamu nataka kuspend nae tu hizo siku mbili tatu kila mtu asepe,basi akinitosa niitieni Connor mzee wa rubbish nae namkubali si kidogo
Mmojawapo hapo ajitolee kunipa raha,wakinitosa wote aje The Mason atanitosha hivyo hivyo tu sizili mimi
Nawatakia happy valentine days
 
Na ukiwakosa wote usisite kunitafuta hata mm siku mbili hizo zinatosha kabisa
 
Natamani kuwa na huyu mwanaume kwenye siku ya valentine day,aniambie popote alipo ntamfata kwa gharama zangu,ananikosha sana nyonga zangu,simmalizi nikimfikiria, niitieni anitoe hamu nataka kuspend nae tu hizo siku mbili tatu kila mtu asepe,basi akinitosa niitieni Connor mzee wa rubbish nae namkubali si kidogo
Mmojawapo hapo ajitolee kunipa raha,wakinitosa wote aje The Mason atanitosha hivyo hivyo tu sizili mimi
Nawatakia happy valentine days
Hongera Sana 7&.
 
Natamani kuwa na huyu mwanaume kwenye siku ya valentine day,aniambie popote alipo ntamfata kwa gharama zangu,ananikosha sana nyonga zangu,simmalizi nikimfikiria, niitieni anitoe hamu nataka kuspend nae tu hizo siku mbili tatu kila mtu asepe,basi akinitosa niitieni Connor mzee wa rubbish nae namkubali si kidogo
Mmojawapo hapo ajitolee kunipa raha,wakinitosa wote aje The Mason atanitosha hivyo hivyo tu sizili mimi
Nawatakia happy valentine days
Ule uzi wetu umefutwa aiseèh

I love the person kwenye avatar yako
 
Hahahaa nasubiri apa comment ya mtu flan


Hivi mtoa mada na ww ni evolution ya binadamu kweli na mashaka na ww ...utakua evulution ya mende..(in connor voice) rubbish idiot
[HASHTAG]#teamconnor[/HASHTAG] wewe? hahaha
 
Back
Top Bottom