MKOBA2011 Senior Member Joined Jul 12, 2011 Posts 142 Reaction score 27 May 26, 2013 #1 Wadau habari za jumapili naomba mwenye kujua hapa Bongo wapi nitapata hawa wataalamu nina shida kuwaona kwa tatizo la mwanangu.Hope mtanisaidia.
Wadau habari za jumapili naomba mwenye kujua hapa Bongo wapi nitapata hawa wataalamu nina shida kuwaona kwa tatizo la mwanangu.Hope mtanisaidia.
IzeGREAT Member Joined Jan 15, 2009 Posts 61 Reaction score 21 May 26, 2013 #2 ,,,.nenda Hospital yoyote kubwa au ya rufaa,eg MUHIMBILI,TEMEKE,AMANA-ILALA,etc,..!!))
Madiba JF-Expert Member Joined Mar 31, 2009 Posts 426 Reaction score 252 May 26, 2013 #3 Dar Kariakoo kwa Dr. Koya ni bingwa wa watoto, hospitali inaitwa A.B. Dar es Salaam Hospital (simu 2181030). Unaweza pia kwenda Aga Khan Hospital Dar onana na Drs. Mpangala au Lakhani au Kuboja. Pia Kaja clinic Kinondoni yupo Dr. Kitundu.
Dar Kariakoo kwa Dr. Koya ni bingwa wa watoto, hospitali inaitwa A.B. Dar es Salaam Hospital (simu 2181030). Unaweza pia kwenda Aga Khan Hospital Dar onana na Drs. Mpangala au Lakhani au Kuboja. Pia Kaja clinic Kinondoni yupo Dr. Kitundu.
queeny JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 584 Reaction score 421 May 26, 2013 #4 nenda kaja pale mwananyamala, biashara complex