Paediatrician

MKOBA2011

Senior Member
Joined
Jul 12, 2011
Posts
142
Reaction score
27
Wadau habari za jumapili naomba mwenye kujua hapa Bongo wapi nitapata hawa wataalamu nina shida kuwaona kwa tatizo la mwanangu.Hope mtanisaidia.
 
,,,.nenda Hospital yoyote kubwa au ya rufaa,eg MUHIMBILI,TEMEKE,AMANA-ILALA,etc,..!!))
 
Dar Kariakoo kwa Dr. Koya ni bingwa wa watoto, hospitali inaitwa A.B. Dar es Salaam Hospital (simu 2181030).
Unaweza pia kwenda Aga Khan Hospital Dar onana na Drs. Mpangala au Lakhani au Kuboja.
Pia Kaja clinic Kinondoni yupo Dr. Kitundu.
 
nenda kaja pale mwananyamala, biashara complex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…