Pafanye JamiiForums kisima cha maarifa na taarifa

Pafanye JamiiForums kisima cha maarifa na taarifa

Kama una jambo, au mada ambayo haina mashiko, kwanini uilete JamiiForums?

Wote tuna jukumu moja, kuifanya JamiiForums kuwa ni kisima cha maarifa.

Hutuhitaji @Brianica tena, tuna uwezo wa kuifanya JF kuwa zaidi ya tuwazavyo, iwapo tu tutaamua kuto post upumbavu.

JamiiForums ijayo inafurahisha, kuwa sehemu ya JamiiForums bora
Jamii Forum imebadilika na kuwa tofauti na zaman kwa sabab ya;

1. Machawa ( Tatizo sugu linaloharibu taswira ya umahiri wa vijana kutetea na kukemea matendo maovu yanayofanywa na viongozi) kazi yao ni kusifia tu

2. Utoto umetamalaki (rejea aina za mada ziletwazo)

3. Wachangiaji mahiri na wenye ufahamu wa mambo mazito wameamua kukaa pemben, kwakuwa mada za siku hizi hazina mashiko.
 
Back
Top Bottom