KAMA ZILE fa ndo za mwana fa basi kajitahidi mno kufikisha bidhaa zake kwa jamii, sijajua kwa mikoani ila kwa dar kajitahidi mno, akifeli na hilo basi ni uzembe wake
Haji anawatukana wana yanga kila kukicha unadhani shabiki wa yanga ataenda kununua? Awahamasishe wananchi wakashibikie timu yao huku wakinukia unyunyu wake!