Thom Munkondya
Member
- Feb 8, 2019
- 94
- 124
Pagale linauzwa lipo mbezi msakuzi.
Details:
Ni nyumba kubwa na ya kisasa, yenye vyumba vinne vya kulala, viwili masters na viwili vya watoto, sebule na dining yake, jiko na store yake.
Haijamalizika kama inavyoonekana
Documents
Kiwanja kimepimwa kina ukubwa wa sqm 600(20*30) na mawe yamepandwa ila hati ipo kwenye mchakato.
Hati itatoka kwa jina la mnunuzi.
Location:
Mbezi msakuzi karibu na kituo cha afya cha hekima.
Mtaa ni mzuri sana na umejengeka
Bei:
Tsh. Million 17tu
(mazungumzo yapo). Mawasliano:
Call&whatsapp;0765532858
Call&whatsapp;0673540985
Details:
Ni nyumba kubwa na ya kisasa, yenye vyumba vinne vya kulala, viwili masters na viwili vya watoto, sebule na dining yake, jiko na store yake.
Haijamalizika kama inavyoonekana
Documents
Kiwanja kimepimwa kina ukubwa wa sqm 600(20*30) na mawe yamepandwa ila hati ipo kwenye mchakato.
Hati itatoka kwa jina la mnunuzi.
Location:
Mbezi msakuzi karibu na kituo cha afya cha hekima.
Mtaa ni mzuri sana na umejengeka
Bei:
Tsh. Million 17tu
(mazungumzo yapo). Mawasliano:
Call&whatsapp;0765532858
Call&whatsapp;0673540985