Page ya t.c.u inaandaliwa kwa sasa

Page ya t.c.u inaandaliwa kwa sasa

hahhahahahhahahahha hackers on work....tcu kwisha habari yao!!!!!
 
na jina la mjanja linaonekana pale ahahaha! Hii ndo Tanzania ahahaha
 
yan hata kama ningekuwa ni mimi ningeibomoa kabisa mana wanaweza watu mpaka tumechoka sasa!!! mko juu hackers...hivyo vhivyo ndo wajifunze next time bhana..wanaboa..
 
aliyehack ajitokeze atupe taarifa zetu, TWAMSUBIRI
 
Tatizo wenye division 3 mnaharaka sana ya kutaka kuona matokeo yenu ndo maana mmegeuka walinzi wa website ya TCU. Mode kama inawezekana kule kwenye new post zisionekane kabisa post za TCU maana imekua kero tunashindwa kufuatilia hata bunge. leo bunge linapitisha budget ya wizara ya elimu badala ya kusikiliza ili baadae msije kugoma mkifika vyuoni nyie mnasubiri selection. Ngoja bungeni wawapitishie bajeti then mje muanze kuandamana mkifika chuon
 
si tusikilize tusisikilize bajet mbaya itapita tu kk...serikal yote uchwara tu...bora ni hustle na tcu 2
 
Nime hack mimi haya nan anataka majibu yake nimtajie?
 
hackers mpo juu mana baada ya kuchukua watu ambao wanauwezo wa kuendesha system vizuri mnachukua vitoto vyenu vyenye certificate mnawaweka ili mkwanja usiende mbali!
 
Back
Top Bottom