Page ya TAMISEMI imedorora, taarifa za uhamisho hamtoi, watu wanahama kimyakimya na hatma yetu hatuielewi

Page ya TAMISEMI imedorora, taarifa za uhamisho hamtoi, watu wanahama kimyakimya na hatma yetu hatuielewi

Private investigator

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
303
Reaction score
287
Nategemea kuhama na nimekamilisha taratibu zote. Nasubiri majina kwenye ubao wa tovuti ya TAMISEMI lakini sioni kitu.

Cha ajabu hapa kazini kwangu, watumishi wapya tunawapokea wakiwa na Uhamisho kutoka nje ya MKOA. Nataka kujua anayepokea hizi rushwa TAMISEMI na Mimi nimpelekee anihamishe.
 
Ndugu nikwambie kitu, Kuna ushauri aliutoa jana Tate Mkuu akasema ukiona mizinguo ni mingi na kuhama kwako Kuna faida kubwa kuliko kubaki hapo ulipo WAACHIE KAZI YAO UONDOKE
Hapana, kabla sijaondoka nataka niwaharibie kwanza, vunja vunja mashine, weka chumvi vifaa, na haribu haribu vitu.
 
Nategemea kuhama na nimekamilisha taratibu zote. Nasubiri majina kwenye ubao wa tovuti ya TAMISEMI lakini sioni kitu.

Cha ajabu hapa kazini kwangu, watumishi wapya tunawapokea wakiwa na Uhamisho kutoka nje ya MKOA. Nataka kujua anayepokea hizi rushwa TAMISEMI na Mimi nimpelekee anihamishe.
Majina ya uhamisho kwa January Hadi March yanatoka June mwishoni baada ya waajiriwa wapya kuripoti vituo vya kazi ili kubalance upungufu ungeweza kujitokeza.
Ahsante mkuu.
 
Nategemea kuhama na nimekamilisha taratibu zote. Nasubiri majina kwenye ubao wa tovuti ya TAMISEMI lakini sioni kitu.

Cha ajabu hapa kazini kwangu, watumishi wapya tunawapokea wakiwa na Uhamisho kutoka nje ya MKOA. Nataka kujua anayepokea hizi rushwa TAMISEMI na Mimi nimpelekee anihamishe.
Shida ni hiyo avatar!🤣😂🤣🤣
 
Nategemea kuhama na nimekamilisha taratibu zote. Nasubiri majina kwenye ubao wa tovuti ya TAMISEMI lakini sioni kitu.

Cha ajabu hapa kazini kwangu, watumishi wapya tunawapokea wakiwa na Uhamisho kutoka nje ya MKOA. Nataka kujua anayepokea hizi rushwa TAMISEMI na Mimi nimpelekee anihamishe.
Majina yatatoka wa 7/8 huko tulia ndugu.Kwanza ndio tumehama na hata tulikofikia hatujawa wenyeji.Tulia tu yatatoka.Omba uwepo mana yanaeza toka haumo
 
Mpwayungu mwalimu huyu anataka kuhama hebu toa neno lolote la kuudhi
Mpwa yungu might be an EX teacher who removed himself from payrol for green pasture, but unfortunately he ended up on dried pasture and now he want to retain his former chance/status but the loop hole is arleady closed and cemented, so he has become totaly confused and eventually he gas run mental and soon he will start to help the city cleaner to sweep the street for free meal from dustbin.
If we trace back the people who committed suicide in JF, they started behaving like mpwa yungu and then hang themselves with no merce!
I call upon all psychology teachers & psychologist regardless of yungu's negativity on this forum to concel him for free otherwise he will commit suicide.
Iam sure he is not able to pay concelling fee.
Please help him. This guy medula oblangata is damaged and he turned to severely mental returded!
Too much negativity is a sign of mental illness, so we don't have to wait until critical stage, he has already display much of mental returded behavior.
Therefore he need treatment.
 
Mpwa yungu might be an EX teacher who removed himself from payrol for green pasture, but unfortunately he ended up on dried pasture and now he want to retain his former chance/status but the loop hole is arleady closed and cemented, so he has become totaly confused and eventually he gas run mental and soon he will start to help the city cleaner to sweep the street for free meal from dustbin.
If we trace back the people who committed suicide in JF, they started behaving like mpwa yungu and then hang themselves with no merce!
I call upon all psychology teachers & psychologist regardless of yungu's negativity on this forum to concel him for free otherwise he will commit suicide.
Iam sure he is not able to pay concelling fee.
Please help him. This guy medula oblangata is damaged and he turned to severely mental returded!
Too much negativity is a sign of mental illness, so we don't have to wait until critical stage, he has already display much of mental returded behavior.
Therefore he need treatment.
Wajinga kama nyinyi ndomnaamini ualimu ni ajira ila Kwa kijana mwenye lengo la mafanikio hawez kwenda kujichimbia huko ambako anaenda kuwa poyoyo kama msukule, ualimu ambao hauna maslahi yoyote zaidi ya kutafuta TB Kwa vumbi la chaki

Brooo Nina kazi zangu binafsi nimeajiri vijana kila siku naingiza pesa za kutosha tu. Siwez kuwa kwenye ajira za mafungu kazini wanatumia vyoo vya kulenga mda wa break wanagombaniana ubuyu wa rangi na wanafunzi. Iam next level broo please don't repeat again your stupidity
 
Wajinga kama nyinyi ndomnaamini ualimu ni ajira ila Kwa kijana mwenye lengo la mafanikio hawez kwenda kujichimbia huko ambako anaenda kuwa poyoyo kama msukule, ualimu ambao hauna maslahi yoyote zaidi ya kutafuta TB Kwa vumbi la chaki

Brooo Nina kazi zangu binafsi nimeajiri vijana kila siku naingiza pesa za kutosha tu. Siwez kuwa kwenye ajira za mafungu kazini wanatumia vyoo vya kulenga mda wa break wanagombaniana ubuyu wa rangi na wanafunzi. Iam next level broo please don't repeat again your stupidity
You need cure immediately! You are sick, you are medula is upside down men.
Gota reach a doctor men.
Your mind is totaly void.
 
Back
Top Bottom