Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Kocha mkuu aliye matatizoni na uongozi wa Yanga, Kostadian Papic, ndiye atakaechukua mikoba ya Marcio Maximo katika kuinoa Tafa Stars na anatarajiwa kutangazwa na TFF mwezi ujao baada ya kushinda usaili wa nafasi hiyo.
Source: Gazeti la BINGWA la leo.