Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Kuna nafasi chache za 'internship' zenye malipo kwenye kituo kimoja cha afya Dar es salaam.
Vijana wanaoweza kupata nafasi ni kama ifuatavyo;
1. Clinical Officer (Tabibu)Mwenye leseni.
2.Assistant Lab Technician (awe na leseni)
3.Phamacetical technician/ assistant pharmaceutical technician
4.Enrolled Nurse (certificate)
5.Health attendant.
Sifa
* Mwombaji awe na vyeti na leseni kwa kazi zinazohitaji leseni.
* Mwombaji awe mwadilifu, muungwana na anayejituma.
* Mwombaji awe yuko Dar es salaam. Waliopo maaeneo ya tabata au ubungo itapendeza zaidi.
N.B
Watakaoonesha ufanisi na uaminifu kwenye kazi wanaweza kuajiriwa.
Kama kuna mtu yuko interested au anajua mtu ambaye yuko interested, atume Cv na vyeti kwenye document moja ya pdf kwenye PM hapo.
au tuma kwenye email pekinghealthcare@yahoo.com
Aidha, mwombaji hapaswi kulipia chochote kokote.
Vijana wanaoweza kupata nafasi ni kama ifuatavyo;
1. Clinical Officer (Tabibu)Mwenye leseni.
2.Assistant Lab Technician (awe na leseni)
3.Phamacetical technician/ assistant pharmaceutical technician
4.Enrolled Nurse (certificate)
5.Health attendant.
Sifa
* Mwombaji awe na vyeti na leseni kwa kazi zinazohitaji leseni.
* Mwombaji awe mwadilifu, muungwana na anayejituma.
* Mwombaji awe yuko Dar es salaam. Waliopo maaeneo ya tabata au ubungo itapendeza zaidi.
N.B
Watakaoonesha ufanisi na uaminifu kwenye kazi wanaweza kuajiriwa.
Kama kuna mtu yuko interested au anajua mtu ambaye yuko interested, atume Cv na vyeti kwenye document moja ya pdf kwenye PM hapo.
au tuma kwenye email pekinghealthcare@yahoo.com
Aidha, mwombaji hapaswi kulipia chochote kokote.