MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Yaani huyo baba flani amlishe yeye atakate na kung'aa juu alafu awe lainiiiiiii uwaachie wahuni wale agggggggggggggrrr hii haiwezekani lazima baba mwenye nyumba nianze kwanza si bora nakula chakula bora kuliko niende kuokota wa barabarani.
Hahahahaha naona una hasira sana vp umesha olewa tayari?
Wanawake huwa mnachuja alafu mnazidiana kiwango achilia mbali na utundu hata ulainiiiiiiiiii
say it again dude...taratibu egyps:
Wanaume wengi saaaaaaaaaaaaaana wanafanya ngono na mashemeji zao: Bahati ni kuwa mimba haziingi, vinginevyo cases kama hii zingekuwa nyingi sana!
Aksante Baba_Enock nisamehe kwa kureact kwa hasira hivi ila mh..... Ni kweli mnashindwa kuwakemea? Akikutumia sms ya ajabu akikukalia vipaja nje yaani unataka kunambia ninyi ni dhaifu kiasi cha kushindwa kuishinda tamaa yako na vishawishi vyake? Mkemee shemeji yako noi sawa na mdogo wako. Hivi kweli mwanaume anawezafanya mapenzi na mdogo wake? ah (Nadhani nimeathirika kimahusiano kiasi cha kuwa unreasonable but frankly speaking nimechoka.)
hapa swala la kuoa ndio limenitatanisha ..sio kutoa mimba
Nyani Ngabu.......... uwe na jioni njema kama uko Tanzania.
MJ1, kipi ni kigumu zaidi, mdogo wake au mtoto wake wa kumzaa au mama yake mzazi?
Bahati nzuri ni kuwa tuko baadhi ya wanaume (tena wengi tu) ambao hatuwezi kufanya uchafu wa namna hiyo.
Atembee na wanae basi maana hata hao anawalisha na kuwavisha na kuwapendezesha.
Tuacheni Utani fedel80 huyu mama amechanganyikiwa kiukweli sasa :confused2:
Tuacheni Utani fedel80 huyu mama amechanganyikiwa kiukweli sasa :confused2:
Huyo dada asithubutu kutafuta mwanamume ili kulipiza kisasi. Itakuwa ni sawa na kumwaga petrol kwenye kibatali. Cha msingi atulie awashughulikie. Akitumia jaziba yeye ndiye atakuwa victim kwani anaweza kujikuta anawaachia nyumba. Mdogo wake atatanua na kumtesea watoto. Atulie na kutumia akili ili awashikishe adabu. Any miscalculation ataongeza majuto juu ya majuto aliyonayo sasa.
Au aombe talaka :A S-coffee:
Asubiri mtoto azaliwe then hiyo couple imchukue na kumlea mtoto......na huyo mdogo mtu ahamishiwe mbali iwezekanavyo!
Kwani siku zote yupo wapi huyu kiumbe?
not sure kama mapenzi yataisha tayari wanategemea ka- photocopy kao ni ngumu katika hali halisi ya kusadikika
Wewe sasa unampotosha au unataka kutengenisha ndoa ya watu?
Akisema mwanaume bado anampenda utasema aanze na yeye kumegwa na shemeji mtu?
Dawa akomae huyo jamaa awaoe wote yeye si kidume bana.
kuna mambo yanaumiza sana maishani jamani, mojawapo ni hili, hapo hakuna undugu hakuna mume...mbona huyo mdogo kawa na jeuri hivyo kweli anadhubutu kumuona dadake anateseka hivyo juu yake? mambo mengine ni laana tupu.