paint it the way you see it

I AM AN ARTIST AT LIVING MY WORK OF ART IS MY LIFE<!-- google_ad_section_end -->


wooow.....
 
I AM AN ARTIST AT LIVING MY WORK OF ART IS MY LIFE<!-- google_ad_section_end -->


wooow.....
mbona hauonekani bana! ujue jana nimeanguka ekzaktle the way kikwete ameanguka kwa kukumisi. aisee!
 
mbona hauonekani bana! ujue jana nimeanguka ekzaktle the way kikwete ameanguka kwa kukumisi. aisee!

wewe toka umetoroka na da Sophy mwaka jana ninakuangalia tuu........nimeshalia nimechoka
 
wewe toka umetoroka na da Sophy mwaka jana ninakuangalia tuu........nimeshalia nimechoka

i have ze very good tent for you....no sun no rain just happy dayz!l.o.l
 
wewe toka umetoroka na da Sophy mwaka jana ninakuangalia tuu........nimeshalia nimechoka
aargh acha kudanganya bana! jana nimekuonaga unaflirt na njemba flani kwenye sredi flani (jina kapuni for sekyuriti rizan). dasophy amekula mtaji wangu halaf kanizimia sim bana. gademu!
 
aargh acha kudanganya bana! jana nimekuonaga unaflirt na njemba flani kwenye sredi flani (jina kapuni for sekyuriti rizan). dasophy amekula mtaji wangu halaf kanizimia sim bana. gademu!

inanibidi niflirt kwa sababu nimechoka kuwa mpweke........na yote haya ni wewe umenisababishia.....kama ungekuwa karibu mimi kote huko ningefuata nini....na nshampenda ujue
 
wadada wa mmu si watasema anawazalilisha lakini?

Kama ulijua Klorokwini,kabla ya kufungua nipoona started by Hashycool,nilifungua nikijua kutakuwa na udhalilishaji na kweli ndo nilichokuta,He is so predictable!!:car::car:
 
sasa hapo nani anazalilisha mwenzie?

Kinachofanya uzalilishaji ni hiyo meza kuwa juu ambako wanafunzi wanaweza mchungulia mwanafunzi na Hashy akaona ailete hii art hapa while kuna art nyingine nyingi tu anazo?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…