mbona hauonekani bana! ujue jana nimeanguka ekzaktle the way kikwete ameanguka kwa kukumisi. aisee!I AM AN ARTIST AT LIVING MY WORK OF ART IS MY LIFE<!-- google_ad_section_end -->
wooow.....
kamanda, huyo wa tatu kutoka kushoto mshauri ajiunge JF. indiid he is a fyucha greti thinka.
mbona hauonekani bana! ujue jana nimeanguka ekzaktle the way kikwete ameanguka kwa kukumisi. aisee!
aargh acha kudanganya bana! jana nimekuonaga unaflirt na njemba flani kwenye sredi flani (jina kapuni for sekyuriti rizan). dasophy amekula mtaji wangu halaf kanizimia sim bana. gademu!wewe toka umetoroka na da Sophy mwaka jana ninakuangalia tuu........nimeshalia nimechoka
wadada wa mmu si watasema anawazalilisha lakini?ai waz sinking ofu ze sem
na jukwaa la mmu nazani litamfaa zaidi
i have ze very good tent for you....no sun no rain just happy dayz!l.o.l
aargh acha kudanganya bana! jana nimekuonaga unaflirt na njemba flani kwenye sredi flani (jina kapuni for sekyuriti rizan). dasophy amekula mtaji wangu halaf kanizimia sim bana. gademu!
wadada wa mmu si watasema anawazalilisha lakini?
sasa hapo nani anazalilisha mwenzie?