Pajero iO

Pajero iO

Fmruma

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
498
Reaction score
783
IMG_1481135817.736277.jpg

Wataalamu vp hz machine vp hazisumbui sana..?kwa wazoefu wa hii machine watupe ubuyu kdgo
 
Ni mashine kali. Ina 4 wheel drive nzuri kuliko rav 4. Kama 2.0 L engine tegemea kutumia 30000 kwa wiki nyumbn kazini kwa dar. Kuna zingine 1.8 L itatumia mafuta kidogo chini ya hapo.
Ukiitunza vizuri usiwe mtu wa makeke itakusaidia sana. Spea zake ni ghali kuliko toyota.
Yangu nimesafiri nayo dar-tanga na kurudi siku hiyo na dar mwanza na kurudi haijanletea matatizo kabisa.
Pia ni nzuri kwa kukaa watu wawili mbele, wa katikati labda wawe watoto au watu wafupi sana manake viti vya katikati vinabana hakuna nafasi kubwa. Gari yangu nimefanya modification kuzogeza kiti nyuma kidogo ili nafasi ya kati ipatikane.
Petroli uweke station zinazoaminika kama gapco puma total. Mafuta yanayochanganywa yanaharibu gari ukumbuke gari hii sensitive.

Conclusion: gari nzuri kama zingine ina nguvu zaidi 4wd. Spea ghali na inahitaji matunzo mazuri
 
Hii haina tofauti na mistubishi GDi, utaisoma namba kwenye maintanance cost, sababu ya bei ghali ya spea, upatikananji wa haraka. Mafuta inakula kawaida kama RAV 4. wengi niliowaona wamechukua hii walipambana mpaka kubadilisha engine na kuweka ya RAV 4
 
GDI ni gari nzuri. Kila gari inahitaji maintenance nzuri na kutokuwa na mikono mingi ya madereva. Gharama ni sawa kwa magari yote, spea za toyota ni feki nyingi.
Na ukinunua gari japan au kwa wauzaji basi nunua yenye hali nzuri at last mileage iwe 90000 km utafurahi nayo gari
 
Ni mashine kali. Ina 4 wheel drive nzuri kuliko rav 4. Kama 2.0 L engine tegemea kutumia 30000 kwa wiki nyumbn kazini kwa dar. Kuna zingine 1.8 L itatumia mafuta kidogo chini ya hapo.
Ukiitunza vizuri usiwe mtu wa makeke itakusaidia sana. Spea zake ni ghali kuliko toyota.
Yangu nimesafiri nayo dar-tanga na kurudi siku hiyo na dar mwanza na kurudi haijanletea matatizo kabisa.
Pia ni nzuri kwa kukaa watu wawili mbele, wa katikati labda wawe watoto au watu wafupi sana manake viti vya katikati vinabana hakuna nafasi kubwa. Gari yangu nimefanya modification kuzogeza kiti nyuma kidogo ili nafasi ya kati ipatikane.
Petroli uweke station zinazoaminika kama gapco puma total. Mafuta yanayochanganywa yanaharibu gari ukumbuke gari hii sensitive.

Conclusion: gari nzuri kama zingine ina nguvu zaidi 4wd. Spea ghali na inahitaji matunzo mazuri
Bei yake mkuu
 
Ni gari nzuri sana kwa dereva mzuri.
Ina nguvu sana kwenye 4 wheel drive hata RAV 4 haioni ndani.
Be careful kwenye mafuta, yasiwe ya videbe uswahilini..have been driving this car for 8 years without any serious problem on daily basis.
 
Back
Top Bottom