Mbwa hawaaminikiVipi kwa mbwa
Katika Uisilamu paka hana tatizo tunaishi naye vizuri tuHv kiimani hawa viumbe kuwagusa si wanatia unajisi, na si vizuri kuwa nao karibu. kabla au wakati wa swala?? Au hii imekaaje?
Kweli mkuu kama ni Dumeanaweza akakukojolea kwenye ndevu akazani kichaka,..😀😀Mbwa hawaaminiki
Vipi nguruwe?Katika Uisilamu paka hana tatizo tunaishi naye vizuri tu
Nguruwe ni halamu,haturuhusiwi kumla,labda ukose kabisa chakula, unaruhusiwa kumla.Vipi nguruwe?
Nguruwe ni najisi kwa mujibu wa biblia.Vipi nguruwe?
Bibie lala bana. Oh nimekumbuka Alberta sasa hivi inaelekea mchanaN
Nguruwe ni najisi kwa mujibu wa biblia.
Tofautisha kati ya Dini ya Uisilamu na Muisilamu,Dini ya Uisilamu imekataza lakini muumini wa kiisilamu amepewa uhuru wa kuchagua na Mola wake,afanye au asifanye, sawa na mengine kama pombe, uzinzi na n.kMbona sasa mlivyofunga hamna wateja wengi. Naskia ni haramu tu ukimla hadharani.
Nipo kwetu Mkuranga, nangoja daku la pilau ya samaki wa Boza.Bibie lala bana. Oh nimekumbuka Alberta sasa hivi inaelekea mchana