Paka wanahitajika hapa dar!!! Na bei yake ni kwanzia 2M!!
Ila swal linakuja hapa wanafanyia nn!!! Kuna jamaa!! kila siku anapewa order na bonus nyingi sana!!! Sasa hawa paka wanapelekwaa wap!!!
Hebu tupate ukwl wa jambo hili!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila swal linakuja hapa wanafanyia nn!!! Kuna jamaa!! kila siku anapewa order na bonus nyingi sana!!! Sasa hawa paka wanapelekwaa wap!!!
Hebu tupate ukwl wa jambo hili!!
Sent using Jamii Forums mobile app