GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Anapenda kwenda sawa na wewe kwa kile unachokila na muda mwingine atataka ale zaidi yako.
2. Ukiwa umelala na mkeo au mpenzi wako atalazimisha akupige chabo dirishani.
3. Ukiificha mboga hasa nyama sehemu ya mbali akiwa hayupo baadae unakuta ameshaila.
4. Ukimuadhibu anakudindia (anakukazia) na muda mwingine anaweza hata Kukutoa baru (Kukukimbiza)
5. Hata kama akiwa mbali vipi lakini Ratiba zote za Wewe Kula anazijua na hachelewi hata Sekunde.
6. Ukiweka wimbo wa UNO wa Harmonize utamuona nae anaufurahia huku anatikisa mkia wake.
7. Akikuona unautizama wimbo wa Baba Lao wa Diamond runingani anaenda kuzima swichi kabisa.
Wenye paka, tafadhali naomba uzoefu wenu nanyi ili nijue ni paka wangu tu au hata na wenu pia.
2. Ukiwa umelala na mkeo au mpenzi wako atalazimisha akupige chabo dirishani.
3. Ukiificha mboga hasa nyama sehemu ya mbali akiwa hayupo baadae unakuta ameshaila.
4. Ukimuadhibu anakudindia (anakukazia) na muda mwingine anaweza hata Kukutoa baru (Kukukimbiza)
5. Hata kama akiwa mbali vipi lakini Ratiba zote za Wewe Kula anazijua na hachelewi hata Sekunde.
6. Ukiweka wimbo wa UNO wa Harmonize utamuona nae anaufurahia huku anatikisa mkia wake.
7. Akikuona unautizama wimbo wa Baba Lao wa Diamond runingani anaenda kuzima swichi kabisa.
Wenye paka, tafadhali naomba uzoefu wenu nanyi ili nijue ni paka wangu tu au hata na wenu pia.