Pakajimmy amekorofishana na mpenzi wake

Pakajimmy amekorofishana na mpenzi wake

Valentina

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
24,684
Reaction score
28,777
Kuna taarifa nimezipata hivi punde kuhusu mwenzetu kipenzi PakaJimmy. Kwa mujibu wa rafiki yake wa karibu afahamikae kama Sofapaka ndie alienipa taarifa hizi,nadhani by then kabla hawajahama eneo walilokua wanaishi na kuhamia Tandahimba huyu rafiki alikua mtu wake wa karibu sana.
Amesema leo majira ya sanane mchana PakaJimmy amepata ajali ya kimapenzi baada ya kukorofishana na gerlfriend wake. Aliendelea kusema matokeo yake pakajimmy amesusa mambo ya jf na amejikalia kijijini kwao kimya na hataki tena bugdha za watu kama kina Lily Flower.

Cc: IGWE, Easymutant, Blaki Womani, marejesho, Lady doctor, LiverpoolFC, Filipo, sweetlady, Erickb52, Cantalisia, Mzee wa Rula, Mr Rocky Arushaone n.k
 
Last edited by a moderator:
I will be back after the commercial break..... huh! huh! naomba kiroba original.
Billionaire PJ unaitwa huku PakaJimmy
 
Last edited by a moderator:
Kuna taarifa nimezipata hivi punde kuhusu mwenzetu kipenzi PakaJimmy. Kwa mujibu wa rafiki yake wa karibu afahamikae kama Sofapaka ndie alienipa taarifa hizi,nadhani by then kabla hawajahama eneo walilokua wanaishi na kuhamia Tandahimba huyu rafiki alikua mtu wake wa karibu sana.
Amesema leo majira ya sanane mchana PakaJimmy amepata ajali ya kimapenzi baada ya kukorofishana na gerlfriend wake. Aliendelea kusema matokeo yake pakajimmy amesusa mambo ya jf na amejikalia kijijini kwao kimya na hataki tena bugdha za watu kama kina Lily Flower.

Cc: IGWE, Easymutant, Blaki Womani, marejesho, Lady doctor, LiverpoolFC, Filipo, sweetlady, Erickb52, Cantalisia, Mzee wa Rula, Mr Rocky Arushaone n.k



Teh teh ...... Hivi kumbe mupogo eeh

Napita tu mie
 
Back
Top Bottom