njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Walijua anaenda kuongea nini kumbuka ni balozi wao, lengo ni kumu-attack Mo Dewji rival wa bidhaa za Azam na kama ni shuzi limepata mjambaji,balozi wao huyo atawasaidia sana kutukana bidhaa za moAzam walikata matangazo baada ya attack kuanza..
mimi nimengalia hiyo press kupitia global tv, na kulikua na online tv nyingi tu wanaonesha.Leo Haji Manara kamshukia sana Mo Dewji akimtuhumu kuuonea wivu ubalozi wake aliopewa na azam company. Siwezi sema ni ukweli au uongo ila nilichosikitika ni azam tv kurusha tukio hilo wakiwa na maslahi na huyo Manara
Ni wazi kuwa walifanya hiko kitendo makusudi kibiashara kumu attack Mo Dewji, Simba sc, METL kupitia Haji Manara
Mbn Millard naye karusha live hii interview/pressAzam kazingua sana dadeki hata kama ya biashara duh sio uungwana huo
Hukuona alikua anasifia Azam tu na watangazaji wa Azam wakawa wanashangilia?!Mbn Millard naye karusha live hii interview/press
Mfano watu waliofukuzwa kazi serikalini wanaweza kutumia uhuru huo?Kwahiyo media zote hata za online zilizo onyesha live nazo zilitumika pia?
Si kila siku watu hua wanalilia uhuru wa vyombo vya habari? Sasa huo ndio uhuru wenyewe.
yes walikataAzam walikata matangazo baada ya attack kuanza..
Kuna sheria ya kuwazuwia kutumia uhuru huo?Mfano watu waliofukuzwa kazi serikalini wanaweza kutumia uhuru huo?