Pale binti anapoyachezea maisha na kuja kujuta mwishoni

Anita Makirita njoo huku mwamba kaliamsha tena, sijui wanawake mmekosea nn. Kwa hali hii mpaka mseme. 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Nimeona Anita alimtusi mwamba mwenye huu uzi mods wakapita naye na ban

Kwani Jadda anasemaje feminist mwingine wa jf
 
Hakuna kununua nyanya muda wa jioni. Maana zishapigwa najua hazina ubora tena. Yaani. Wakituita umbwaaa tutawakumbusha baba zao ndio majimbwaaa makubwa kwenye msafara wetu. Wazee wa kataa ndoa wanabeba tena point 3 za away kabisa hizi
 
We blame each other

Tunachoweza sisi Jamiii za watu weusi ni kutoa lawama tu


Mnasahau kuwa mwanamke na mwanaume wote hawa wanaweza kuangukia sehemu ambayo hawawezi kutoka.

Tujifunze utofauti kati ya role model na rule model


Wanawake wanakosa rule model Ila wanapata role model.

Ukikosa MTU wa kukuongoza in this life you will end up being ,depressed and dumber .
 
Somo kwa wanaume.....

Wee jamaa upo serious aiseeee mbona unaweka mambo magumu hivo...

Kwahiyo tusikubali wanawake wenye umri mkubwa sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Haijalishi Ana umri mkubwa au mdogo unachoangalia Ana kitu gani cha Ku-offer kwako.


Sometimes age is nothing but a number

Something matter is mentality
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kama kuna mtu anafata ushauri wako basi kayapatia maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…