Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Wadau, najua hoja nyingi zimo humu kuhusu hawa wasichana ambao ni "natural"! Unajua wife hapa ninapochar kashika remote anachange cahnnel tu kwenye dish akkiagiza hili na lile, na nimetoka kuomba kikombe cha chai, lakini kamuagiza HG alete, zaidi nimeanzisha hoja fulani hapa nilichojibiwa najua mwenyewe na nilipouliza mbona unajibu hivyo ndo kabiosa mazungumzo yakaharibika... wakati huohuo namwita dada hebu nichekie kama kuna t-shirt iliyopiugwa pasi ananiitikia ndiyo baba na fasta anailete na kubonyea kidogo kwa heshima na anapoondoka naniachia harufu flani ay natural inayonihakikishia mambo yameiva napagawa... mama kapiga pafume ajabu hata sijui tena harufu yake ni ipi...
Usisahau asubuhi nikiamka ninaekutana nae ni dada, kafunga kanga moja na kama kawa anaandaaa chai fasta na kwa heshima zote, usisahau mambo yote ya mtoto anasimamia dada, kumuogesha kula na akilia anambembeleza yeye... na mama kasisitiza alipwe elfu 20,00 tena baada ya kusisitiza kwa umakini...
Jamani acheni tu sijui kama itakuwaje mi ni mtu mzima ila hapa ni tatizo kwa kweli... Nimepoteza hata uwezo wa kumshauri wife kwa kiburi alichojenga maana hata lugha haiko kama vile basi tu hakuna sababu ila sijui ndo kunizoea au vipi... wadau huko kwenu sijui kukoje
Usisahau asubuhi nikiamka ninaekutana nae ni dada, kafunga kanga moja na kama kawa anaandaaa chai fasta na kwa heshima zote, usisahau mambo yote ya mtoto anasimamia dada, kumuogesha kula na akilia anambembeleza yeye... na mama kasisitiza alipwe elfu 20,00 tena baada ya kusisitiza kwa umakini...
Jamani acheni tu sijui kama itakuwaje mi ni mtu mzima ila hapa ni tatizo kwa kweli... Nimepoteza hata uwezo wa kumshauri wife kwa kiburi alichojenga maana hata lugha haiko kama vile basi tu hakuna sababu ila sijui ndo kunizoea au vipi... wadau huko kwenu sijui kukoje