Pale tu mashoga walipo tambuliwa.


Mkuu hapo umenena.
 
usiniache na mm dunia naona imeshanishinda siwezi vumilia!

Acheni unafiki, hao machoko c wapo hata kabla Cameroon hajasema? Na najua mnawajua, mnaishinao, mnawaona, mnafanyanao kazi mbona hamuwapingi au kuwaua km mnawachukia? Au hao albino na vikongwe ndo wabaya? Acheni hizo.
 
Mungu aepushe mbali isijetokea hapa tz, waendelee kujificha hivyo, hivyo. Hiyo ni laana kuliko laana zote hapa duniani. Mwanaume kujigeuza wa kike! Laana.

Nasikia hata wanawake wanaoana sipati picha ile shughuli inafanyikaje au wanapanyunda na kisigino, lakini hapana, auuu, ee? mademu naomba mnijuze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…