Mfumo wao wa maisha ndio tatizoDadas wa bongo movie wana bahati mbaya sana sjui kwa nini
Kwahiyo speshoz,jm,sheria ngowi wote ni chamtoto kwa chidyMtoa mada we naye ni popoma tuu wala hujui kuwa hyo ni Kiki , na Kwa taarifa yako wolper amelipwa 2mil kutengeneza hyo Kiki , na hii issue imemboost Sana jamaa upande wa social media na career yake ya designer , jamaa Kwanza ni machine wa kutengeneza suti Kali hapa tz wachache Sana wanaoweza kumkimbiza