Pale tutakaporuhusu kupenya kwa mrengo wa kushoto na itikadi kali katika hapa Tanzania, tutakwisha

Pale tutakaporuhusu kupenya kwa mrengo wa kushoto na itikadi kali katika hapa Tanzania, tutakwisha

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hii mihimili miwili ipo juu zaidi katika list ya vitu vya kitapeli kuwahi kutokea hapa duniani.

Kama mnataka watoto wenu kufundishwa elimu ya ushoga ya awali, kubadirishwa jinsia, wake zenu kuuguzwa ugonjwa wa feminism, wahamiaji kuingia kwenu kiholela kupelekea uharifu kuongezeka, kufanyika parade za haki za mashoga, kuharibika kwa msingi wa uanaume, etc basi ruhusuni mrengo wa kushoto (liberals, wokeism).

Kama mnataka kufosiwa kushikilia mabango ya free palestine kwa lazima, kwenda kariakoo lakini unaaga kuwa unaweza usirudi kwa maana kuna mtu anaweza akajipiga kiberiti, kuchomwa ndani ya nyumba zenu za ibada, kutumika na Iran kama kibaraka wake wa kutimiza kiu yake ya vurugu, etc basi ruhusu itikadi kali (radicalism)
 
Back
Top Bottom