Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
HAKUNA Kauli yoyote ambayo sisi watanzania tutaielewa hasa kuhusiana na kule kubaya tulipotoka nyie wana CCM mnaotafuta uungwaji mkono kwa njia yoyote ile fahamuni tu sisi watanzania hatuwaelewi hata kidogo yaani hata mfanyaje shall be zero
Acheni #SSH aongoze kwa Amani amalize mihula yake miwili jinsi ulivyo utaratibu wetu kwa mujibu wa katiba yetu.
Ombi:Rais wetu tunakuomba upunguze upole japo ndio asili yako
ASALAAM ALEYKUM.
Tumetoka mbali na chama.
N.b,Wakati wa operesheni mbali mbali ni sasa na sio baadae. Tukingoja baadae tutajikuta timeshare chelewa.
Acheni #SSH aongoze kwa Amani amalize mihula yake miwili jinsi ulivyo utaratibu wetu kwa mujibu wa katiba yetu.
Ombi:Rais wetu tunakuomba upunguze upole japo ndio asili yako
ASALAAM ALEYKUM.
Tumetoka mbali na chama.
N.b,Wakati wa operesheni mbali mbali ni sasa na sio baadae. Tukingoja baadae tutajikuta timeshare chelewa.