Pale unapokuwa una ukata alafu unashiriki maongezi na watu wenye pesa maradufu kukuzidi

Pale unapokuwa una ukata alafu unashiriki maongezi na watu wenye pesa maradufu kukuzidi

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
1000050602.jpg
 
Yes gentleman,
hapo ndipo pakutokea kirahisi kiuchumi. ni muhimu sana kujadiliana na kubadilishana mawazo na watu wenye pesa mingi zaidi ili upate mawazo na mipango ya kupata pesa mingi zaidi, lakini ni muhimu zaidi kujadiliana na waliofanikiwa zaidi ili nawe upate maarifa na mbinu za kufanikiwa zaidi..

kuzungumza na kujadiliana wasio na pesa ni kupoteza muda lakini pia kuzidisha ukata zaidi. kuambatana na waliofeli maisha ni kujichimbia katika kaburi la umaskini 🐒
 
Pumbavu..fata nyuki ule asali...mafukara bwana kwaio unataka fukara akae na kuongea na mafukara wenzie...
 
Yote taaabu tu, kuwa hauna akili halafu ujadiliane na majitu yenye miakili kukuzidi.

Au kuwa na miakili halafu ujadiliane na watu wasio na akili kabisa.


Japo wataalamu wanasema, kama unapenda kujifunza ni bora mara mia ujadiliane na majitu yenye miakili kukuzidi utakua............... same na kwa utajiri
 
Back
Top Bottom