Yote taaabu tu, kuwa hauna akili halafu ujadiliane na majitu yenye miakili kukuzidi.
Au kuwa na miakili halafu ujadiliane na watu wasio na akili kabisa.
Japo wataalamu wanasema, kama unapenda kujifunza ni bora mara mia ujadiliane na majitu yenye miakili kukuzidi utakua............... same na kwa utajiri