Pale unapotolewa nje ya kikao, halafu huamini amini hivi..

Pale unapotolewa nje ya kikao, halafu huamini amini hivi..

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Screenshot_20240629-120320.jpg
 
Huyo ni shujaa kupambana na mafisadi ya chama tawala ukiwa peke yako lazima uwe vizuri. Tuzidi kumwombea
 
Huyo mzalendo ipo siku tu atakuwa rais na kuwa nyoosha hawa vichaa wa ccm.
 
Huo ni mtego kwa CHADEMA, anatumwa ahamie na kuvuruga kura CHADEMA isishinde 2025
 
Back
Top Bottom