pale waalimu tarajali wanapojiuza

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
naona hapa mkwawa baadhi ya wadada wanafuatwa na magari.si dada ila inaniuma kua na waalim
 
Wanafunzi wajiuza huku
 
binafsi sijakuelewa,.

Hivi na wewe ni msomi pia!!
 
Wanafunzi wajiuza huku


yaani haueleweki kabisa! mara unakuja "mkwawa hovyo, leo wadada wanajiuza!" hivi kuja kuchukuliwa na magari tayari wamekuwa wanajiuza? wangapi wenyewe waliokuja kuchukuliwa na magari? kama huyo aliyekuja kuchukuliwa ni mchumba/mke wa huyo alimchukua unajuaje? kwanini useme anajiuza?

hebu tulia usome wewe!
 
naona hapa mkwawa baadhi ya wadada wanafuatwa na magari.si dada ila inaniuma kua na waalim

aaaaaaa kijana we sema tu mi sina gari la kumchuka manzi wangu pale mkwawa kama vipi njoo hapa RUCO nikuazime lakwangu
japo nguo ya kuazima haistili ma------
 
Acha ujinga, naona ndo matokeo ya BRN. Mbona wahadhiri wanakuja kuchukuliwa na taxi, nao wanajiuza? Ulivyo na akili fupi kama ya samaki, naona kila kukicha uko kwenye mtandao kuichafua MUCE, wee siku tukija kukufahamu dawa yako unapigwa sapu, then carry then disco. Ndo urudi kijijini kwenu. Kwanza inaonyesha ww ni mshamba wa kutumia internet umeikuta MUCE ndo unatolea ushamba kwa kupost ujinga ujinga wako
 
wanunuaji mnakua wakali
 
nikipata sapu nusu darasa itahusika mzee
 
mnawatia mimba sana watoto wa watu
 
mpiga msuli hasa we umetia mimba sana
 
hv mpiga msul wewe c ndo ulikub unajicfia umepangwa mkwawa? kikuwapi? len inakiponda? duu majangaaa
 
Jamaa ana hasira demu wake anachukuliwa na taxi ameamua kuwapaka wote!!
 
naona hapa mkwawa baadhi ya wadada wanafuatwa na magari.si dada ila inaniuma kua na waalim

mjini msingi kiuno! Kwan kipi cha ajabu kwako? Huo ni mpango wa mama malisa tekweki for spread (hiv)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…