Pale wapiga kura wanapovaa viatu vya wajumbe

Pale wapiga kura wanapovaa viatu vya wajumbe

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Ugumu wa maisha unaweza ukakufanya ufanye maamuzi sahihi au ufanye maamuzi kwa kushinikizwa.

Nikiangalia watu mtaani naona wote Wana hasira maisha magumu, wamechoka Kama wajumbe.

Hata mawakala wa chama kile waliotegemea umateumate wameambulia debe la mahindi ambalo litaisha kabla hata matokeo hayajatoka.

Ukimbuka ujalipwa mshahara, watoto hawana ajira, unadaiwa twenty ya kitambulisho, huna maji, huna pesa ya Kodi nk unagundua wajumbe walifanya maamuzi ambayo waliyafuarahia miyoni.

Wewe mpiga kura ni mjumbe wa furaha yako kwa miaka mitano, chagua haki uishi kwa haki.

Chagua dhuluma uishi kwa dhuluma.
 
ElFMmJRXUAI8_uH.jpeg
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Kuna mgombea mmoja baada ya Watanzania kumkataa amekata tikiti ya kurudi kwao ubeligiji

Usaliti ni laana kwa Taifa
 
Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
 
Ugumu wa maisha unaweza ukakufanya ufanye maamuzi sahihi au ufanye maamuzi kwa kushinikizwa.

Nikiangalia watu mtaani naona wote Wana hasira maisha magumu, wamechoka Kama wajumbe.

Hata mawakala wa chama kile waliotegemea umateumate wameambulia debe la mahindi ambalo litaisha kabla hata matokeo hayajatoka.

Ukimbuka ujalipwa mshahara, watoto hawana ajira, unadaiwa twenty ya kitambulisho, huna maji, huna pesa ya Kodi nk unagundua wajumbe walifanya maamuzi ambayo waliyafuarahia miyoni.

Wewe mpiga kura ni mjumbe wa furaha yako kwa miaka mitano, chagua haki uishi kwa haki.

Chagua dhuluma uishi kwa dhuluma.
Kuna chama hakitaki kusikia neno haki
 
Back
Top Bottom