Palestine vs California

Waislamu akili zenu ni kama mende mbona lilitokea tetemeko pale uturuki likaua watu zaidi ya 2000 na maelfu ya mali ziliharibika hamkusema wanapewa adhabu na mungu pale Saudia watu walikanyagana pale kwenye kile kijumba wakafa watu maelfu nako walipewa adhabu na Nani?
 
Pamoja na hilo moto huo unafikirisha moto unavuka mpaka barabara huon maajab hapo
 
Tatizo mlisema ukiibariki Israeli basi nawe utabarikiwa sasa tuna shangaa kinacho ikuta marekani leo
 
mji ujiitao wa jina la malaika, kama kazi za maajabu zilizofanywa kwao, na injili iliyohubiriwa kwako ingehubiriwa kwa sodoma na gomora , hakika miji hio ingalisimama mpaka leo. hivyo na hukumu yako itakuwa kuwa kupita hio
 
Huyo jamaa anatoa machozi ya chura tu Hana wasiwasi unafikiri anaishi kimakengeza kutegemea kudra za Mola. Ameweka BIMA kila kitu kitalipwa na maisha with no time yanarudi.
Hata kama ana bima ila ameona kuwa na yeye pia anaweza kuwa displaced kama watu wa ghaza walivyo displaced.
 
mji ujiitao wa jina la malaika, kama kazi za maajabu zilizofanywa kwao, na injili iliyohubiriwa kwako ingehubiriwa kwa sodoma na gomora , hakika miji hio ingalisimama mpaka leo. hivyo na hukumu yako itakuwa kuwa kupita hio
Kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…