Pamba anapigwa 4 msiseme sijawambia..

Pamba anapigwa 4 msiseme sijawambia..

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wakamaria helà hiooo weka YANGA win n 3+

Pamba anapigwa

Niko kwa wakala

Kama nilivyosema ya Simba

Na ta r 8 nshawapa ubuuuyuuu

Mtu anapigwa na 3+. Hauhitaji HATA udi subiria matokeoo
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
Mwalimu hakuagiza Kizazi cha kamali.
Kizazi cha Simba na Yanga always.

RIP Baba wa Taifa.
Adui Ujinga Analisambaratisha Taifa Lako.
 
kamari wameidizaini iende kinyume na malengo yake unaweza ukaweka goli ziwe 3. then ft 2-0

kamari ni utapeli
 
Back
Top Bottom