Pamba jiji Mwanza (wana tupwisa lindanda mazembe kawekamo)

Pamba jiji Mwanza (wana tupwisa lindanda mazembe kawekamo)

GITWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
1,572
Reaction score
1,781
Kwa wale wapenzi na mashabiki wa PAMBA timu ya Mwanza iliyopanda ligi. Timu iliyowahi kutupa furaha watu wa Mwanza na viunga vyake especially Kanda ya ziwa. Tukutane hapa kuwa tunapeana updates za chama letu la PAMBA.
 
Pyeeeeeeeeiìi..... kipyenga teyari mtanange uanze wapenzi wa T.P Lindanda Karibia
 
Afu hili jina Sijalielewa....

Ni Pamba F.C , ni Mwanza jiji au

Pamba Mwanza Jiji?

Hii inaondoa asili. Wangeacha iitwe vile vile Pamba F.C ya Mwanza..

Hii ni sawa na kusema 'Yanga GSM Afrika'.
 
Hii timu inashuka daraja msimu ujao washa anza kutoana kafara
Yaani hilo ndio tatizo la hizi timu ikipanda daraja tu ndio matatizo yanaanza, Mimi naiombea itulie ligi kuu ili wana Mwanza wafurahie ligi kuu
 
Afu hili jina Sijalielewa....

Ni Pamba F.C , ni Mwanza jiji au

Pamba Mwanza Jiji?

Hii inaondoa asili. Wangeacha iitwe vile vile Pamba F.C ya Mwanza..

Hii ni sawa na kusema 'Yanga GSM Afrika'.
Ni PAMBA JIJI, zamani ilikuwa PAMBA Fc baada ya kuwekwa chini ya uongozi wa JIJI ndio ikabadili na kuitwa PAMBA JIJI ila hili jina halijakaa poa wangeacha jina la zamani au wangeita PAMBA Mwanza
 
Ni PAMBA JIJI, zamani ilikuwa PAMBA Fc baada ya kuwekwa chini ya uongozi wa JIJI ndio ikabadili na kuitwa PAMBA JIJI ila hili jina halijakaa poa wangeacha jina la zamani au wangeita PAMBA Mwanza
 

Attachments

  • Screenshot_20240528-140715.png
    Screenshot_20240528-140715.png
    259.4 KB · Views: 4
Nembo Yao hiyo hapo juu🖕🖕
 
Pyeeeeeeeeiìi..... kipyenga teyari mtanange uanze wapenzi wa T.P Lindanda Karibia
Haswaa mkuu hii timu ina historia yaka hapa Tz na ni kipenzi cha baadhi ya wana Kanda ya ziwa.
 
Picha la wana
 

Attachments

  • Screenshot_20240528-184445.png
    Screenshot_20240528-184445.png
    973.5 KB · Views: 4
Ndio hao
 

Attachments

  • Screenshot_20240528-185123.png
    Screenshot_20240528-185123.png
    631.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240528-185039.png
    Screenshot_20240528-185039.png
    1 MB · Views: 4
  • Screenshot_20240528-185007.png
    Screenshot_20240528-185007.png
    870.2 KB · Views: 4
Hii timu haitafika mbali! Imeshikwa na kada wa ccm, shabiki la utopolo! mkuu wa mkoa wa mwanza Said Mtanda.
Uyu jamaa yupo radhi afanye lolote ili utopolo ipate ushindi!

Kama atakuwa karibu na pamba fc! Basi pamba wahesabu maumivu! Ataweka ushabiki wake wa utopolo mbele na kufanya timu ikose sapoti ya wananchi wa mwanza,maana ataigawa timu kisiasa na kishabiki.
 
IPO namba nane sasa inaendelea kukimbia kwenye eneo la kushuka daraja
 
Back
Top Bottom