Pambana na hali yako yaipoteza utaisoma namba

Pambana na hali yako yaipoteza utaisoma namba

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Kama unakumbuka hapo awali neno maarufu lilikuwa ni utaisoma namba, ilikuwa tu ukikosea kitu na ukijichanganya kitu fulan watu walikuwa wanasema utaisoma namba


Lakin kwa sasa kitaan kumenuka mambo yamebadilika ukilikologa au ukijikologa au ukiigia chaka watu watakwambia pambana na hali yako


Hata mimi na masela kwa sasa kijiwen neno ni moja tu pambana na hali yako

Ni hayo tu

Jumapili njema mazee


LONDON BABY
 
Haikatai ipo wazi kama ya mbuzi.
 
Hiyo iko wazi tu, tia jibu.
Naona "Wasiojulikana" nayo itaifunika pambana na hali yako.
 
Kwani nani kaomba msaada?

Hata wewe mleta mada pambana na hali yako hata kama unaumwa jitahidi ivo ivo.[emoji113][emoji113][emoji113][emoji113]
 
Back
Top Bottom