ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Msemo huu maarufu wa jf umekuwa chachu ya maisha yangu kubadilika,tangu nikutane nao ingawa kwa 100% siyo msemo rafiki sana,nimefanikiwa kupambana na mambo mengi ninayopitia kila siku kwa amani zaidi.
Jamani nasema kila mtu apambane na hali yake bila kuchoka.
Tchao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nasema kila mtu apambane na hali yake bila kuchoka.
Tchao.
Sent using Jamii Forums mobile app