Pambano la muuza madafu wa ikulu halikuchezwa na hakuna sababu zilizotolewa. Azam mnatudharau wateja

Pambano la muuza madafu wa ikulu halikuchezwa na hakuna sababu zilizotolewa. Azam mnatudharau wateja

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Jumamosi ni siku ya kwenda kula mbuzi Kibaha(Loliondo). Lakini kwa ugumu wa hela nikaona nisiende Kibaha nilipie kifurushi ili kumuona Muuza Madafu wa Ikulu akipambana ulingoni.

Saa moja mapambano yakaanza na tukamuona Muuza Madafu anaingia kwenye uwanja hivyo nikajua hapa kweli jamaa atapigana. Kwa kweli sikuwa na mzuka na main card iliyokuwa kati ya Nassib Ramadhani na Juma Choki. Mzuka ulikuwa kwa Barnabas Alexander(Muuza Madafu).

Nimehuzunika kuona nimelipia kisimbuzi ila mechi niliyoitaka haikhwepo. Hii ni mara ya pili azam wanatufanyia uhuni mara ya kwanza ilikuwa pambano la Mwakinyo ambapo wakapigana siku nyingine kimya kimya.

Huu uhuni umenisababishia hasara ya hela yangu ya kifurushi ambayo ningeweza kwenda kula mbuzi au hata kuupa pole moyo wangu.

Azam mmezingua
 
Jumamosi ni siku ya kwenda kula mbuzi Kibaha(Loliondo). Lakini kwa ugumu wa hela nikaona nisiende Kibaha nilipie kifurushi ili kumuona Muuza Madafu wa Ikulu akipambana ulingoni.

Saa moja mapambano yakaanza na tukamuona Muuza Madafu anaingia kwenye uwanja hivyo nikajua hapa kweli jamaa atapigana. Kwa kweli sikuwa na mzuka na main card iliyokuwa kati ya Nassib Ramadhani na Juma Choki. Mzuka ulikuwa kwa Barnabas Alexander(Muuza Madafu).

Nimehuzunika kuona nimelipia kisimbuzi ila mechi niliyoitaka haikhwepo. Hii ni mara ya pili azam wanatufanyia uhuni mara ya kwanza ilikuwa pambano la Mwakinyo ambapo wakapigana siku nyingine kimya kimya.

Huu uhuni umenisababishia hasara ya hela yangu ya kifurushi ambayo ningeweza kwenda kula mbuzi au hata kuupa pole moyo wangu.

Azam mmezingua
Baada ya kutapeliwa pambano la Mwakinyo bado mnahangaika na vitasa! mmelogwa?
 
Jumamosi ni siku ya kwenda kula mbuzi Kibaha(Loliondo). Lakini kwa ugumu wa hela nikaona nisiende Kibaha nilipie kifurushi ili kumuona Muuza Madafu wa Ikulu akipambana ulingoni.

Saa moja mapambano yakaanza na tukamuona Muuza Madafu anaingia kwenye uwanja hivyo nikajua hapa kweli jamaa atapigana. Kwa kweli sikuwa na mzuka na main card iliyokuwa kati ya Nassib Ramadhani na Juma Choki. Mzuka ulikuwa kwa Barnabas Alexander(Muuza Madafu).

Nimehuzunika kuona nimelipia kisimbuzi ila mechi niliyoitaka haikhwepo. Hii ni mara ya pili azam wanatufanyia uhuni mara ya kwanza ilikuwa pambano la Mwakinyo ambapo wakapigana siku nyingine kimya kimya.

Huu uhuni umenisababishia hasara ya hela yangu ya kifurushi ambayo ningeweza kwenda kula mbuzi au hata kuupa pole moyo wangu.

Azam mmezingua
Hamuoni Euro wala hamuoni ndondi za uswazi? Azam bhana🤣🤣
 
Azam wamezido uhuni bahati mbaya watanzania hawajui kufatilia haki zao. Walitakiwa wawashitaki fcc kwa kufanya biashara kwa ulaghai kwa kutumia Sheria za consumer right
 
Azam Tv imekua ya hovyo sana baada ya ligi kuisha
 
Hao Azam ni hovyo sana. Hiyo jana pia waliandika wataonyesha mechi ya Euro German vs Denmark lakini hawajaonyesha.
 
Mi king'amuzi nimehifadhi hadi ligi zianze nasikia tutaangalia na la Liga
Kwa Sasa naangalia ndondo clouds masoko cup chanel ten na safari champion
Hayo yote camera ni Moja
 
Jumamosi ni siku ya kwenda kula mbuzi Kibaha(Loliondo). Lakini kwa ugumu wa hela nikaona nisiende Kibaha nilipie kifurushi ili kumuona Muuza Madafu wa Ikulu akipambana ulingoni.

Saa moja mapambano yakaanza na tukamuona Muuza Madafu anaingia kwenye uwanja hivyo nikajua hapa kweli jamaa atapigana. Kwa kweli sikuwa na mzuka na main card iliyokuwa kati ya Nassib Ramadhani na Juma Choki. Mzuka ulikuwa kwa Barnabas Alexander(Muuza Madafu).

Nimehuzunika kuona nimelipia kisimbuzi ila mechi niliyoitaka haikhwepo. Hii ni mara ya pili azam wanatufanyia uhuni mara ya kwanza ilikuwa pambano la Mwakinyo ambapo wakapigana siku nyingine kimya kimya.

Huu uhuni umenisababishia hasara ya hela yangu ya kifurushi ambayo ningeweza kwenda kula mbuzi au hata kuupa pole moyo wangu.

Azam mmezingua
Pambano la madafu wengi walikuwa na hamu kuliona.

Ila kiuhalisia angepigwa.
 
Back
Top Bottom