Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hapana Asakuba ni Underdog sana, Kwa Nn atuletee VitotoMayweather anapigwa kwa KO
Second round dogo kala KO.Tupeni feedbacks mnaocheck
Tumjue nani ni mandonga wa mbele
Mayweather anatafutaga vijamaa vya uchochoroniHapana Asakuba ni Underdog sana, Kwa Nn atuletee Vitoto
Ila huyu dogo ana idea nzuri basi tuu kakutana na mlima mzitoMayweather anatafutaga vijaa vya uchochoroni
Huyu mjapani ni mzuri kakosa tuuu uzoefuMjapan mandonga hajatoboa
Amepigwa au mkeka umechanika?Mayweather anapigwa kwa KO
Pacquao hakua bondia mzuri?floyd ndio tabia yake anatafuta mabondia choka mbaya wasiokuwa na uzoefu ili awapige aendelee na Rekodi yake nimeangalia rekodi za uyo mjapani ajawai kushinda pambano ata moja linalotambuliwa na shirikisho la ngumi duniani
Kutupiwa Ua chini ina maana gani.Sijawahi kumshabikia Mayweather, ila kitendo cha kutupiwa ua chini kilifanya nitake ashinde. Na ameshinda. Haka katoto kakijapani sio kabaya kanahitaji mapambano zaidi yenye pressure.
Lile pambano lingefanyika tofauti na marekani floyd asingeshinda
Ila Floyd Ngumi anajua yule.floyd ndio tabia yake anatafuta mabondia choka mbaya wasiokuwa na uzoefu ili awapige aendelee na Rekodi yake nimeangalia rekodi za uyo mjapani ajawai kushinda pambano ata moja linalotambuliwa na shirikisho la ngumi duniani