Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Napenda kuwapa Taarifa Kwamba Kuna Pambano la Marudiano Kati ya Bondoa Usyk v. Joshua.
Pambano Hilo la Uzito Wa Juu (World heavyweight champion) litafanyika Trh. 20 Mwezi August 2022, Katika Jiji la Jeddah, Saudi Arabia.
Nani Kutoka Kifua Mbele?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pambano Hilo la Uzito Wa Juu (World heavyweight champion) litafanyika Trh. 20 Mwezi August 2022, Katika Jiji la Jeddah, Saudi Arabia.
Nani Kutoka Kifua Mbele?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app