Pambano la ngumi usiku wa leo kati ya Canelo na Saunders

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Usiku Wa Kuamkia Leo Kulikuwa na Pambano La Kukata Na Shoka Kati Ya Mmexico Canelo Na Muingireza Billy Boy Saunders.

Canelo ameshinda baada ya Kona ya Billy Joe Saunders kusitisha kuendelea kutokana na tatizo la eye socket.Pambano lilikuwa zuri sana.

But Is it really fair kwamba at the end of every round they play music for only canelo and a billy boy Saunders? If the crowed is cheering u, that’s one thing but I feel like this is a little biased towards billy. Just my opinion though. #CanelovsSaunders​

 
Canelo Alvalez ni monster.

The best pound for pound boxer wa kizazi hiki au ata wa muda wote.

Uyu jamaa anajua hatari.

Tukumbuke kabla ya mpambano uyo Saunders ashakuja na excuse kibao. Alitaka kugomea fight kisa ulingo.

Kwa sasa ivi hakuna mtu wa kumpiga canelo kuanzia Middle weight division mpk Light heavyweight division.
 
Canelo Alvalez ni monster.
The best pound for pound boxer wa kizazi hiki au ata wa muda wote....
By the way usually A side gets all the benefits of all that. I actually like Canelo but as a fan of boxing, I thought it was a little biased against billy boy.

Ujue Boxing ni mchezo unaochezwa ulingoni sio nje! Hao ni Professional Boxers hawawezi kukwazika kwa vitu vidogo. Billy alishinda Ubingwa Canada ambako ni away kabisa.

Fury amepigana Marekani na kutoa sare na Deontey Wilder.bMara nyingi huwa wanalalamikia maamuzi ya Majaji endapo hayajawa fair (robbery) Kama hapa Tanzania Mchezo wa Boxing unashindwa kukua kwasababu ya maamuzi ya uongo yanayopendelea Mabondia Watanzania.
 
Maboxer wengi wanataka kupigana na Canelo ila wakipata nafasi wanaishia kumbwela tu, ingawa Saunders kajitahidi before round ya 7. Kwa sasa hakuna wa kumpiga, next match kuna uwezekano atacheza na Caleb Plant
 
Canelo Alvares Saul ndo mfalme wa ndonga kizazi hikiiii
bondia boraa kabisa duniani
nlitamani angekutana na Paquiao wa enzi ileeeee
naaamini ingekuwa fight moja ya kihistoriaa
 
Sawa tunaomba arudiane na GGG
GGG aliyepigana naye kipindi kile sio wa sasa, hayupo kwenye ubora ule nadhani kwa sababu ya umri. Wakikutana now anaweza kupigwa KO maana Canelo ubora wake umeongezeka. Kwa maoni yangu anayeweza kumsumbua Canelo ni Jermal Charlo
 
GGG ali mpush Canelo to his limits,, kila nikiangalia match ya kwanza naona Canelo alibebwa,,
Sahihi mkuu ile ilikua controversial draw.
Ila GGG alishinda.
Kwa sasa Canelo hana mpinzani
 
GGG aliyepigana naye kipindi kile sio wa sasa, hayupo kwenye ubora ule nadhani kwa sababu ya umri. Wakikutana now anaweza kupigwa KO maana Canelo ubora wake umeongezeka. Kwa maoni yangu anayeweza kumsumbua Canelo ni Jermal Charlo
Jermal nae moto namkubar yule bishoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…