Pambano la Simba na Yanga limeshaisha muda huu...

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
 
nina wasiwasi wewe ni mzuka wa mechi ya kwanza
 
Komeo Lachutalalaast: 15369731 said:
Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Mtani chunga sana utalala mapema leo
 
NDIO Waganga WENU Ambao Mnawaamini WAMEWAAMBIA HAYO!!!!???
 
Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Nilidhani mechi iliyopita mwenyeji alikuwa Simba, hivyo pambano liliitwa Simba na Yanga (Simba vs Yanga). Nasikia sasa mwenyeji ni Yanga, hivyo pambano liitwe Yanga na Simba (Yanga vs Simba). Nimekosea mkuu? Tukiacha ubashiri wako.
 
Mpaka sasa hivi mvua haijanyesha wala manyunyu,hali mbaya kwa Simba
 
Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe..!
 
Wewe itakuwa shemeji kakununulia tiketi ya kwenda kuangalia mechi...baada ya kudamka kupiga deki na kuosha vyombo....huku dada yako akiwa kalala....ndio maana una kimuhe muhe cha kuingia uwanja wa taifa kwa mara ya kwanza.....
 
Camp ya Pemba haijawahi kutoka kapa aisee sijui Leo labda kwa kuwa simba ina mwendelezo mzuri wa performance kwa siku za karibuni
 
hiv hili game tbc wataonesha km walivyoonesha lililopita au ndio kubana matumizi
 
Nilidhani mechi iliyopita mwenyeji alikuwa Simba, hivyo pambano liliitwa Simba na Yanga (Simba vs Yanga). Nasikia sasa mwenyeji ni Yanga, hivyo pambano liitwe Yanga na Simba (Yanga vs Simba). Nimekosea mkuu? Tukiacha ubashiri wako.
Utashangaa hata wachambuzi mbuzi wa Bongo watafanya makosa hayo hayo. Hadi leo hawajui kwamba jina la timu mwenyeji ndiyo hutangulia kuandikwa.
Ushabiki wa timu zao unawapofua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…