Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mtani chunga sana utalala mapema leoKomeo Lachutalalaast: 15369731 said:Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Nilidhani mechi iliyopita mwenyeji alikuwa Simba, hivyo pambano liliitwa Simba na Yanga (Simba vs Yanga). Nasikia sasa mwenyeji ni Yanga, hivyo pambano liitwe Yanga na Simba (Yanga vs Simba). Nimekosea mkuu? Tukiacha ubashiri wako.Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Mpaka sasa hivi mvua haijanyesha wala manyunyu,hali mbaya kwa Simba
Inategemea upo wapi. Hapa mataa ya Chang'ombe kuna mvua imepita hadi tukakimbilia kujihifadhi kwenye makorido ya nyumba jiraniMpaka sasa hivi mvua haijanyesha wala manyunyu,hali mbaya kwa Simba
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe..!Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
sitacheka kwakua sina mbavusiyo baraa ni BALAA Division 5 wee,
Utashangaa hata wachambuzi mbuzi wa Bongo watafanya makosa hayo hayo. Hadi leo hawajui kwamba jina la timu mwenyeji ndiyo hutangulia kuandikwa.Nilidhani mechi iliyopita mwenyeji alikuwa Simba, hivyo pambano liliitwa Simba na Yanga (Simba vs Yanga). Nasikia sasa mwenyeji ni Yanga, hivyo pambano liitwe Yanga na Simba (Yanga vs Simba). Nimekosea mkuu? Tukiacha ubashiri wako.