Pambano la Simba na Yanga limeshaisha muda huu...

Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Mkuu ni PM namba ya huyo babu mlikua mnatazama pambano kabla halijaanza. Huyo hata mshana haoni ndani.
 
Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.

Shikamoo kwa utabiri
 
Poleni sana wanasimba. Yanga wameshashinda bao mbili. Simba wamekosa mabao ya wazi kabisa. Inasikitisha lakini hali ndo ipo hivyo. Mchezo umeshaisha kabla haujaanza na hii ndo sifa ya mpira wa Tanzania. Tuna kazi kubwa sana. Nawatakia weekend njema.
Kwann unadanganya watu kwamba simba wamekosa magoli ya waz !!!! Kama yap na nan kakosa???
 
Mkuu lakukosa magoli kwako ndo unaona kakosea xana vp kuhusu final results.
 
hili wala si jambo geni au la kusema kuwa kulifaham ni special. watu wanatamka simba na yanga kwa kufata urahisi wa kutamka na wala haihusiani na ushabiki au kutokujua. yaani umesikia sikia hilo nawe ukawa unatafuta wapi pa kukosoa au kuonesha unajua. mjinga akierevuka mwerevu kaa chonjo kwa kweli.

Utashangaa hata wachambuzi mbuzi wa Bongo watafanya makosa hayo hayo. Hadi leo hawajui kwamba jina la timu mwenyeji ndiyo hutangulia kuandikwa.
Ushabiki wa timu zao unawapofua
 
Kwenye wajinga unaendelea kuwa mjinga. Bado kidogo utakuwa mpumbavu.
Urahisi gani unazungumzia wewe? Dunia nzima wanaelewa jina la mwanzo ndiyo mwenyeji. Kumbuka hii derby kuna nchi za nje wanaifuatilia. Waandishi wajinga wanapotosha wasomaji kwenye mitandao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…