#COVID19 Pamoja na hatua Kali zilizochukuliwa na Kenya, bado Wakenya ndio chimbuko kubwa la kuingiza Corona Uganda

#COVID19 Pamoja na hatua Kali zilizochukuliwa na Kenya, bado Wakenya ndio chimbuko kubwa la kuingiza Corona Uganda

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Wakati Kenya ikilalamika kwamba Tanzania ndio chimbuko la virusi, waganda wanaiona Kenya ndio nchi yenye kuingiza virusi kwa wingi nchini mwao.

Tanzania haijachukua hatua Kali kama kuwauwa raia wake wanaokwenda kinyume na sheria na taratibu za kupambana na Corona kama ifanyavyo Kenya, lakini jambo la kushangaza, Kenya ndio inayasambaza virusi zaidi kwa Uganda kuliko Tanzania.

=======

Five more truck drivers have tested positive of Coronavirus in Uganda. This brings the total number of Ugandan covid-19 cases to 121. Among the five positive cases, 3 are Kenyans and two are Ugandans.

The Ugandan health Minister, Jane Aceng reported that the outcomes were made out of 1498 truck drivers whose samples were taken on Sunday. The minister added that the five drivers entered the country through malaba and Elegu entry points.

“This brings the total number of Covid-19 cases to 121 in Uganda. The new cases are two Ugandan and three Kenyan truck drivers who arrived via Elegu and Malaba points of entry,” said the minister via tweet.

There have been many reported cases of Kenyan truck drivers testing positive of Coronavirus in Uganda. This is worrying to the Ugandan health security considering the measures Ugandan authorities have put in place to prevent more infection in the country.

Meanwhile, it has been reported that Kenyan truck driver in Uganda ran into hiding after his samples confirmed he was positive of Coronavirus. According to the Ugandan newspaper; Daily monitor, the security team and health officers have been dispatched to search for this driver.

fcf1210314d1ef1b0209d1d65f05434a

More covid-19 cases are expected to increase therefore since the man might have interacted with other Ugandans. It is awaited to see what Museveni might do to control further spread of the disease.

Credit: Uganda: Kenya Is Giving Us More Headache Again
 
Back
Top Bottom