Pamoja na hujuma wanazofanyiwa, Chadema wanaendelea na ujenzi wa ofisi za majimbo

Mwaka huu chadema lazima wamnyoe mtu sirini by any means hata kama ni kwa kutumia meno
 
Safi Sana........! Na Ufipa pasisahaulike....Vile Vibanda pale Vinatia Aibu.!!
 
Hahahaaaa...... Naona vitofa vya kuchoma vinaunganishwa kwa tope la udongo!
Bwashee kumbe Mzee Mgaya ndiye katuolea dada yetu, ni lazima umsikilize na kumtii kama unaishi kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…