Pamoja na kua Bikira Maria aliolewa na msaramalaJe wewe usio kumbuka lini alitoa ubikira unatak uolewe na benki meneja.

Pamoja na kua Bikira Maria aliolewa na msaramalaJe wewe usio kumbuka lini alitoa ubikira unatak uolewe na benki meneja.

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Wanawake wa kibongo wengi ni comedians wanajifanya wamempokea sana Yesu ila wana shindwa kuiiga tabia ya Mama ake Yesu, kwa roho moja aliolewa na fundi vitanda mwenye kipato duni, ila wao wanatafuta benki meneja, mwenye BMW, bungalow nk.

Ndo maana wengi huchelewa kuoa au kuolewa nyie watu acheni uzizi oeni mtu yoyote bila kuzingatia kazi yake au kipato huo ndo ukuristo halisi.
 
Andika kwa utulivu mkuu, Ubikira ushatoka unawahi wapi?
 
Kwamfano ukatulia ukanywa kisungura chako vizuri ukaandika huku umelilaxxx nani atakugombeza????🤣🤣🤣🤣🎄🎄🎄🎄🎄🎄maria kilisimasi
 
Wanawake wa kibongo wengi ni comedians wanajifanya wamempokea sana Yesu ila wana shindwa kuiiga tabia ya Mama ake Yesu, kwa roho moja aliolewa na fundi vitanda mwenye kipato duni, ila wao wanatafuta benki meneja, mwenye BMW, bungalow nk.

Ndo maana wengi huchelewa kuoa au kuolewa nyie watu acheni uzizi oeni mtu yoyote bila kuzingatia kazi yake au kipato huo ndo ukuristo halisi.
Watu wa ulimwenguni mnahangaika sana.
 
Back
Top Bottom