LGE2024 Pamoja na kudaiwa kushinda Uchaguzi kwa zaidi ya 100% Wanaccm Wanaona aibu, hawashangilii

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Weee mbona mie leo naenda kwenye sherehe ya kushangilia ushindi
 
Hatari tupu.
 
Sisi mtaani kwetu kumepigwa kigoma cha uruguay +mdundiko +singeli.
Wamekesha usiku wote wakishangilia ushindi.
 
Sawa mwishiwa, wewe kwa akili yako timamu unaona kulikuwa na uchaguzi au uchafuzi.? Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika hiki ulichoandika. Mjaribu kuweka tume huru ya uchaguzi, halafu waweke pembeni hao policcm uone kama mtapata kitu, she___:-nzi taipu..
 
Kunduchi mpaka leo mshindi hajatangazwa. Walio wengi walipiga kura za kumkataa bwana KIBELE. Yule mgombea aliyekuwa anapita na MDUNDIKO huku akitoa rushwa ya bia.
Wana ccm hawamtaki kwa sababu anatokana na mafisadi wa ccm kina Michael urio ambaye ni naibu meya wa kinondoni.
Hii ccm hii aibu kweli
 
Kuna Mtaa mmoja Temeke Waliojiandikisha walikuwa 360 lakini Mgombea wa CCM amepata zaidi ya kura 1000, Unaambiwa hadi huyo mshindi mwenyewe kapigwa na bumbuwazi
Tutajie jina la mtaa.Huu ujinga wa kuleta uzushi umekuwa staili ya kuziba kugaragazwa kwa Chadema.
Wewe ndio umeleta haya madai hivyo burden of proof iko juu yako.
 
Katika binadamu waliokosa uoga na aibu utakuwa mmojawapo. Unaogopa kweli unatetea hila na wizi wa wazi ili kufurahisha nafsi yako na wezi wenzio wa CCM. Mwenye akili timamu na moyo uliojaa haki hawezi kushangilia huu wizi
 
LAbda wewe ndiye unaona aibu kwa kushindwa vibaya baada ya chama lako kupuuzwa na watanzania.kutokana na ubabaishaji wake uliokithiri ndani ya chama. Embu niambie ni wapi ambalo Lissu alipiga kura?
Katika viumbe wapumbavu duniani utakuwa unaongoza. Umeoza moyoni kiasi hauna uchungu na Tanzania bali CCM na chawa wake, kwa yote yaliyofanywa na serikali ya CCM toka uandikishaji wa wafu na watoto wao shule, kuengua na kuua wagombea wa upinzani hadi kuzuia kuwaapisha mawakala wa vyama vya upinzani ni mccm mpumbavu tu atakayeshangilia
 
Kikundi kinachoratibu wizi wa kura ni kidogo sana ndani ya CCM. Wana CCM wengi ni wazuri tu na hawapendi wizi wa kura. Wengine wanakubali tu kwa kuwa wanafaidika kwa namna fulani.
Kupenda chama cha siasa kama upenzi wa Yanga na Simba ni kushindwa kufanya kazi vizuri kwa ubongo, namna ambavyo nchi inapelekwa kwenye uharibifu bado upende CCM kama mimi navyopenda Yanga basi tunahitaji maombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…