Pamoja na kupungua kwa maambukizi, Malaria bado tatizo kubwa vijijini

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
338
Reaction score
180

SERIKALI imeonyesha jitihada kubwa katika kupambana na ugonjwa wa malaria ambapo maambukizi yanatajwa kwamba yameshuka kutoka asilimia 18 kwa mwaka 2007/2008 hadi asilimia 10 mwaka 2011/2012.

Lakini pamoja na kupungua kwa maambukizi hayo, takwimu zinaonyesha ugonjwa huo bado ni tatizo kubwa katika vijijini ikilinganishwa na maeneo ya mjini ambapo maambukizi ya maeneo ya vijijini ni asilimia 10.7 na mjini ni aslimia 3.4

Kupungua kwa maambukizi hayo kunatajwa kwamba ni kutokana na mwamko ambao wananchi wameupata wa kutumia vyandarua vyenye dawa ili kujikinga na mbu waenezao malaria, mwamko ukionekana kuwa mkubwa zaidi mijini kuliko vijijini.
Soma zaidi hapa=> Pamoja na kupungua kwa maambuki, Malaria bado tatizo kubwa vijijini | Fikra Pevu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…