Jamani Maty,
Mbona ni wakarimu sana tena kwa wote......! sasa kama hao wote uliwajaribu wakaingia mitini, si ungenijaribu na mimi kule kwenye tangazo sasa?
Hahahaaaaaaaaaa Maty..adhabu yako nitafutie amana yangu nliyoipoteza Savoy hadi uipate.naisubiria Ubungo Bus Terminal kesho! Mwone vile
Hahahaaa mwalimu hiyo adhabu kubwa aseee punguza kidogo bathi lol
Haya nakubadilishia sasa elezia scientifically uwiano kati ya muda wa kupost thread/posts na usingle................... in 5 full pages A4.
hahahaaaaaa sina vigezo bana nimeachika mara mbili lol
....unajua we Maty wewe.....!
Upo mpenzi bado tu hujapata mwenza? mi nasubiri umalize kuchuja huko mimi niweke wa akiba lol
....nimepata Maty....ila ungeshusha na wewe CV yako pengine........? halafu mi-shakwambia ujue nakuangalia tu ww hapo?
Maty hapo juu upo singo nini mbona umeng'anga'ania sana huku
hahahaaaa we heartbreka mbona mmekimbia kule kwa gelofriends? hakuna mtu leo
That is very true...kuna kitu kina miss bwana maana mbili au tatu sio sawa na moja. Ila sasa happiness comes first in life. It depends on how you want to run the show, but kweli ni ngumu sana kuishi bila mwenza pembeni kama ulianza na kuzoea maisha hayo.Darlings. Sweethearts, Brothers and Sisters............
Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu.
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa (Na pengine wao wamekuwa wakipretend kunionyesha kuwa) Singles i.e. wale waliowahi kuwa na mahusiano na kisha wakakaraishwa na wenzi wao na wengine kuachiwa zawadi za watoto) kuwa wanayo amani now than kipindi walichokuwa na wenzi wao. Wengine tumediriki kuequate furaha ambayo tungeipata kutoka kwa wenzi wetu na ile tuipatayo toka kwa watoto wetu tulioachiwa= Utasikia Mtu akisema ............ah nina shida gani nikirudi nyumbani I just find my darling baby happy ananichangamsha and I am happy siku inapita (Hapa anarefer to mwanae kwa maana halisi ya mwanae----sio nick name ya husband or lover)
Nimekuwa nikisikia hadithi mbalimbali za arafiki (na ilipofika zamu yangu nikahisi kuwa it is the right decision) kuamua kuwa mwenyewe kwa kuwa nahisi sipati stress ambazo ningezipata wakati niko na mwenzi wangu. But I think it is not true...........There is something missing in the life of the loners/singles and the alike
I am not sure if it is true or its me ............. Ninaomba msaada wenu.
Unaniangalia nini tena nawe? mi mwenzio mahusiano ya kupeana CV aku. Wa kwangu mungu alompanga atakuja naturally
Unaniangalia nini tena nawe? mi mwenzio mahusiano ya kupeana CV aku. Wa kwangu mungu alompanga atakuja naturally
Ndahani aksante sana mpenzi wangu .........afu we mmakenika nini maana hiyo avatar lolThat is very true...kuna kitu kina miss bwana maana mbili au tatu sio sawa na moja. Ila sasa happiness comes first in life. It depends on how you want to run the show, but kweli ni ngumu sana kuishi bila mwenza pembeni kama ulianza na kuzoea maisha hayo.
U miss some1 who when around him u can be yourself..you can sit together and watch your lives sunsetting in the olld age horizon!!keep searching!!sirudi...Darlings. Sweethearts, Brothers and Sisters............
Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu.
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa (Na pengine wao wamekuwa wakipretend kunionyesha kuwa) Singles i.e. wale waliowahi kuwa na mahusiano na kisha wakakaraishwa na wenzi wao na wengine kuachiwa zawadi za watoto) kuwa wanayo amani now than kipindi walichokuwa na wenzi wao. Wengine tumediriki kuequate furaha ambayo tungeipata kutoka kwa wenzi wetu na ile tuipatayo toka kwa watoto wetu tulioachiwa= Utasikia Mtu akisema ............ah nina shida gani nikirudi nyumbani I just find my darling baby happy ananichangamsha and I am happy siku inapita (Hapa anarefer to mwanae kwa maana halisi ya mwanae----sio nick name ya husband or lover)
Nimekuwa nikisikia hadithi mbalimbali za arafiki (na ilipofika zamu yangu nikahisi kuwa it is the right decision) kuamua kuwa mwenyewe kwa kuwa nahisi sipati stress ambazo ningezipata wakati niko na mwenzi wangu. But I think it is not true...........There is something missing in the life of the loners/singles and the alike
I am not sure if it is true or its me ............. Ninaomba msaada wenu.