Pamoja na kuwa Uko Single....

trust me you don't wanna know what i know ...
u may end up hate them,instead of loving them...
its like the painful truth....but the truth

i guess you've made me think otherwise already.....l.o.l
 
ahahaaa l.o.l you putting this game to bed man.......giving them...l.o.l

i want them them to learn that sex is good for them too...
they are not doing us any favor...lol
 
i guess you've made me think otherwise already.....l.o.l

please don't
do u know that sometimes i wish i never find out
what i know now?
it makes things hard for me sometimes or boring...
like being able to read someone mind..u just lose interest in the end...
 
i want them them to learn that sex is good for them too...
they are not doing us any favor...lol

i now wonder how many of them had actually been there(peak) with such a mentality.....l.o.l
 
It takes two to tango...

You can sail in a ship by yourself,
Take a nap or a nip by yourself.
You can get into debt on your own.
There are lots of things that you can do alone.
(But it)
Takes two to tango .....l.o.l
 
i want them them to learn that sex is good for them too...
they are not doing us any favor...lol

Nimekusoma mkuu, nafikiri hii kitu imekuwa inaleta wakati mgumu kutokana na misingi ya mapenzi yenu, hujawahi ona mwenza anamwambia mwenzake we nenda tuu wala sikuhitaji?
Wakati huohuo kuna mwingine analia siwezi ishi bila ya wewe.
 

kamanda, issue ya loneliness ni very true, kumbuka kwamba hata tunaposafiri tu kwenda field huwa tunajisikia wapweke wakati wa kulala haswa (nimeangalia mda uliotuma hii thread nikaona iko relevant sana mazee)

Any human being aliyewahi kuwa exposed na co-habitation yoyote ile hapendi kuwa pekee, there is a sense of incompleteness around when you go to be alone or with a small baby tha needs your protection. I read somewhere kwamba a woman feel the need of protection more than a man na ukiona wewe kama woman ndio mtoa protection unahisi hakujakamilika.

Just to add a little thought hapo... they say kwamba a woman anakua more vulnerable pale anaposafiri kwenda mbali na alipozoea simply because that 80% of her life is out of the picture

USHAURI: Do what will make you complete and not lonely, whether transition, go back or lean to spiritual therapies... shule pia hupunguza stress and loneliness
 
sasa hivi ni saaa ngapi?

nadhani hili itabidi nilisemee kesho

And you are wrong kabisa, what u r missing is something 'constructed'.....

Kaizer!! Is it?? Who 'Construct' that something?? You or the society/world?

So what you are saying is that there is truth in that phrase ya Being Happly single??
 
una miss mtu wa kumlaumu na kumnunia....
wa kumkumbatia na kumgusagusa
wa kwenda nae mbele za watu,mfano harusi...

una miss pia vingi.....
Thanx Boss umenichekesha eti unakosa mtu wa kumnunia ah...............ila hapo kwa kwenda nae mbele ya watu mh!!
 

Hupungukiwi na lolote ukiamua kuishi maisha ya peke yako. Angalia wangapi wapo ndani ya wawili wawili lakini shida mtindo mmoja stress maugomvi kila kukicha, kuibia nje kama kazi. Shosti ni heri tu kuwa mwenyewe huhitaji kununa bila sababu
 
Watu huwa wanasema i am living happily single sijui kama huwa ina ukweli ndani yake yes it might have some truth in it, any human ambaye ame experience co-habitation kukaa peke yake inakuwa ngumu, kifupi ni kwamba just do something that will make you not lonely.

By the way Mjukuu i have already started feeling lonely this morning sijui nifanyeje sasa lol!!!!!!
 
Hupungukiwi na lolote ukiamua kuishi maisha ya peke yako. Angalia wangapi wapo ndani ya wawili wawili lakini shida mtindo mmoja stress maugomvi kila kukicha, kuibia nje kama kazi. Shosti ni heri tu kuwa mwenyewe huhitaji kununa bila sababu

Yaani Pakawa ina maana tumefikia kiasi hiki ndio maana unataka kukaa peke yako lol!!!!!!!
 

Ni kweli Uporoto01 hapa nimeongelea upande wa wanawake kwa kuwa hawa ndio ambao mara nyingi nimewasikia wakisifia uzuri wa kuwa single....kwa wanaume nadhani hili wanalikiri mbele za wanaume wenzao na hivyo siwezi kulisemea lakini pia nafikiri Living Single ya wanawake ni/au inatakiwa kuwa tofauti na ile ya kina kaka au ni mimi tu na ukishoka wa kichwa?? Coz nawaza mwanaume ambaye yuko au ameamua kuwa single inamaanisha ameamua kutooa kwani sina uhakika kama hata akionekana na demu/mademu wasio permanent atashangawa ilhali kwa mwanamke anayetangaza kuwa single hatarajiwi kuwa na man/men ambao si permanent kwani hataeleweka au??

But nakubaliana na wewe kuwa inawezekana wapo wanaume pia ambao hata wao wanaona ni heri kuishi single na wanayafurahia maisha ya aina hiyo
 
Hata kama unamtoto kipenzi utakayemwita ,honey ,darling ,sweeteheart na mengineyo lazima kuna kitu kitakuwa kinamiss
Hata mungu aliahidi atatupatia msaidizi wa kusaidizana katika maisha
Kwa hiyo basi ni lazima kuna vitu vitapungua latika maisha ya kuwa single ,kwani kuna mengine mwanao kipenzi hawezi kutimiza
Nakuja Dear
 
Mj1.....naomba nitoe mawazo yangu kwa cm, unaweza nipatia namba yako ya tigo? Tafaadhali
 



Kaka.......................cant add anything more. Thanx

By the way kumbe nlichosikia jana usiku kama bunduki ilikuwa ni risasi za moto zilizokuwa zikipigwa kutuliza ghasia maeneo ya Mwenge Oilcom..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…