trust me you don't wanna know what i know ...
u may end up hate them,instead of loving them...
its like the painful truth....but the truth
ahahaaa l.o.l you putting this game to bed man.......giving them...l.o.l
i guess you've made me think otherwise already.....l.o.l
i want them them to learn that sex is good for them too...
they are not doing us any favor...lol
kabisa kabisa but wanawake wa kitanzania bado hawajui faida yake..trust me....
they always think sex is about giving men,
It takes two to tango...
i want them them to learn that sex is good for them too...
they are not doing us any favor...lol
Darlings. Sweethearts, Brothers and Sisters............
Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu.
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa (Na pengine wao wamekuwa wakipretend kunionyesha kuwa) Singles i.e. wale waliowahi kuwa na mahusiano na kisha wakakaraishwa na wenzi wao na wengine kuachiwa zawadi za watoto) kuwa wanayo amani now than kipindi walichokuwa na wenzi wao. Wengine tumediriki kuequate furaha ambayo tungeipata kutoka kwa wenzi wetu na ile tuipatayo toka kwa watoto wetu tulioachiwa= Utasikia Mtu akisema ............ah nina shida gani nikirudi nyumbani I just find my darling baby happy ananichangamsha and I am happy siku inapita (Hapa anarefer to mwanae kwa maana halisi ya mwanae----sio nick name ya husband or lover)
Nimekuwa nikisikia hadithi mbalimbali za arafiki (na ilipofika zamu yangu nikahisi kuwa it is the right decision) kuamua kuwa mwenyewe kwa kuwa nahisi sipati stress ambazo ningezipata wakati niko na mwenzi wangu. But I think it is not true...........There is something missing in the life of the loners/singles and the alike
I am not sure if it is true or its me ............. Ninaomba msaada wenu.
sasa hivi ni saaa ngapi?
nadhani hili itabidi nilisemee kesho
And you are wrong kabisa, what u r missing is something 'constructed'.....
Thanx Boss umenichekesha eti unakosa mtu wa kumnunia ah...............ila hapo kwa kwenda nae mbele ya watu mh!!una miss mtu wa kumlaumu na kumnunia....
wa kumkumbatia na kumgusagusa
wa kwenda nae mbele za watu,mfano harusi...
una miss pia vingi.....
Darlings. Sweethearts, Brothers and Sisters............
Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu.
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa (Na pengine wao wamekuwa wakipretend kunionyesha kuwa) Singles i.e. wale waliowahi kuwa na mahusiano na kisha wakakaraishwa na wenzi wao na wengine kuachiwa zawadi za watoto) kuwa wanayo amani now than kipindi walichokuwa na wenzi wao. Wengine tumediriki kuequate furaha ambayo tungeipata kutoka kwa wenzi wetu na ile tuipatayo toka kwa watoto wetu tulioachiwa= Utasikia Mtu akisema ............ah nina shida gani nikirudi nyumbani I just find my darling baby happy ananichangamsha and I am happy siku inapita (Hapa anarefer to mwanae kwa maana halisi ya mwanae----sio nick name ya husband or lover)
Nimekuwa nikisikia hadithi mbalimbali za arafiki (na ilipofika zamu yangu nikahisi kuwa it is the right decision) kuamua kuwa mwenyewe kwa kuwa nahisi sipati stress ambazo ningezipata wakati niko na mwenzi wangu. But I think it is not true...........There is something missing in the life of the loners/singles and the alike
I am not sure if it is true or its me ............. Ninaomba msaada wenu.
una miss pillow talk...
Hupungukiwi na lolote ukiamua kuishi maisha ya peke yako. Angalia wangapi wapo ndani ya wawili wawili lakini shida mtindo mmoja stress maugomvi kila kukicha, kuibia nje kama kazi. Shosti ni heri tu kuwa mwenyewe huhitaji kununa bila sababu
Hapa naona umeongelea upande wa mwanamke tu kuna kina baba wameachana na wake/wapenzi wao na kuachiwa watoto na wanakwambia maisha yake ni raha mustarehe na watoto wake hataki tena kusikia mambo ya wanawake na nimeongea na mtoto mmoja wa hawa jamaa anadai baba yao anawajali sana na walichoka vituko vya mama yao(ni mtoto wa kike 15yrs).
Of course there is nothing better in the world than being with the one you love, sharing and cherishing every moment . BUT
Does having someone for the sake of having someone better than having no one?, Definitely not , if you are with someone who does not value you, you had rather be alone.., To be happy comes from within you can create your own happiness , you can still have friends with no attachments ,
So its all about weighing the pros and cons..., if the guy was not worth it..., just someone you share a bed and nothing else, just adding stresses in your head then you are better off right now.. We Make Our Own Happiness...
Thanx Boss, am here now please helpthread inaenda na ku develop....
where is she?
if she wanted our opinions,
she should stand around and reply right?