Mwaka huu hakuna kampeni mh rais yeye ndio anamalizia malizia hivyoSasa washtuke halafu wakabidhi mapapai kwa wananchi ama nini??
Tulipokuwa tunawaparua humu kuhusu shida na mahitaji ya wanachi,wanatuita lumumba buku 7.wao wako busy na uhuru wa kujieleza.
Imeisha hiyo,ukiona ingine marudio.Mwaka huu hakuna kampeni mh rais yeye ndio anamalizia malizia hivyo
mchezo ushaisha zamani, ni kuzindua miradi mpaka siku ya kupiga kura, "protocol "......Mi naona kwa harakati hizi zinazoendelea za mh rais za kuzindua miradi mbali mbali kuna kampeni zinaendelea^kufanywa hapo hapo.
Upinzani mmeshashikwa pabaya mmeachwa sana shtukeni hamna lenu mwaka huu na leo form inarudishwa ya ugombea awamu ya pili mtasubiri sana mwaka huu.
Poleni sana
Flyover imekuwa mbaya kwasababu ya kuharakishwa.Ndio maana Ubungo flyover inamaliziwa kwa kasi ya ajabu
Mi naona kwa harakati hizi zinazoendelea za mh rais za kuzindua miradi mbali mbali kuna kampeni zinaendelea^kufanywa hapo hapo.
Upinzani mmeshashikwa pabaya mmeachwa sana shtukeni hamna lenu mwaka huu na leo form inarudishwa ya ugombea awamu ya pili mtasubiri sana mwaka huu.
Poleni sana
Sio mbaya alimradi nile tunda[emoji124][emoji124]View attachment 1493436
Sio mbaya alimradi nile tunda
Tena kimasihara kabisa!Sio mbaya alimradi nile tunda
We babu umenifanya nifikirie mara mbili mbili juu ya hii mbinu kwenye hili dude nalolipenda sana, good idea![emoji124][emoji124]View attachment 1493436
Mbona kwa miaka yote minne yuko katika kampeni nchi nzima, wakati upinzani hata vikao vyao vya ndani, wanatiwa mshike mshike.Mi naona kwa harakati hizi zinazoendelea za mh rais za kuzindua miradi mbali mbali kuna kampeni zinaendelea^kufanywa hapo hapo.
Upinzani mmeshashikwa pabaya mmeachwa sana shtukeni hamna lenu mwaka huu na leo form inarudishwa ya ugombea awamu ya pili mtasubiri sana mwaka huu.
Poleni sana