Pamoja na kuzuia kivuko kufanya kazi, Kongamano la Katiba Mpya lafana Ukerewe

Pamoja na kuzuia kivuko kufanya kazi, Kongamano la Katiba Mpya lafana Ukerewe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kama tulivyowahi kueleza huko nyuma, nguvu ya umma haijawahi kuzuilika kamwe, hii ni kwa sababu binadamu si kama mifugo kwamba unaweza kuiburuza utakavyo.

Bavicha inaendelea na makongamano nchi nzima kama ilivyopangwa .

Hapa ni Ukerewe , 10/10/2021

FB_IMG_1633954781950.jpg
FB_IMG_1633954792593.jpg
FB_IMG_1633954801382.jpg
 
Back
Top Bottom