Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama tulivyowahi kueleza huko nyuma, nguvu ya umma haijawahi kuzuilika kamwe, hii ni kwa sababu binadamu si kama mifugo kwamba unaweza kuiburuza utakavyo.
Bavicha inaendelea na makongamano nchi nzima kama ilivyopangwa .
Hapa ni Ukerewe , 10/10/2021
Bavicha inaendelea na makongamano nchi nzima kama ilivyopangwa .
Hapa ni Ukerewe , 10/10/2021