Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe endelea na kongamano la Steve Nyerere la Mama ongea na mwanaoHao watu watano ndio wanajadili katiba mpya?!
Wewe endelea na kongamano la Steve Nyerere la Mama ongea na mwanao
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mtu wa sita ni wewe na mimi wa saba.Hao watu watano ndio wanajadili katiba mpya?!
Wakati Nyerere anadai Uhuru hadi kwenda UN, walikuwa watu wangapi? Na Uhuru ulipatikana,hebu tutolee hapa laana uliyonayo na wenzakoHao watu watano ndio wanajadili katiba mpya?!
Uhuru gani?!!Wakati Nyerere anadai Uhuru hadi kwenda UN, walikuwa watu wangapi? Na Uhuru ulipatikana,hebu tutolee hapa laana uliyonayo na wenzako
Waludhania wakimfunga mtu mmoja Mbowe ndiyo watu watakata tamaaaKama tulivyowahi kueleza huko nyuma, nguvu ya umma haijawahi kuzuilika kamwe, hii ni kwa sababu binadamu si kama mifugo kwamba unaweza kuiburuza utakavyo.
Bavicha inaendelea na makongamano nchi nzima kama ilivyopangwa .
Hapa ni Ukerewe , 10/10/2021
View attachment 1971091View attachment 1971092View attachment 1971094
Corona inatishaHao watu watano ndio wanajadili katiba mpya?!